Simba cement kuongeza idadi ya wadhamini ligi kuuu, kitanuka tena kwa hakika

Simba cement kuongeza idadi ya wadhamini ligi kuuu, kitanuka tena kwa hakika

CHIZI VITABU

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2021
Posts
1,061
Reaction score
2,477
Hawa jamaa siyo tu wataambiwa wabadili rangi simba awe wa njano ila watapigwa mkwara waweke hata swala wataulizwa ushawahi kuona simba na mambo ya cement wataambiwa kama vipi iteni hata Dar es salaam cement


Screen Shot 2021-10-07 at 21.14.19.png
Screen Shot 2021-10-07 at 21.13.52.png
 
Msukule wanaye pale. Atawasaidia hakika.
Wale ndiyo wataalamu wa logo utasikia we ushawahi kuona wapi simba mwekundu lakini wanatumia noti za 10,000 zenye tembo mwekendu na logo yao ina watu wa kijani na njano wengine wanacheza netball na ngumi halafu wanakuambia wao ndiyo wataalamu wa branding
 
Hata wakiweka Simba wa kijani bado ni Simba tu[emoji23][emoji2]
 
Back
Top Bottom