Simba cement kuongeza idadi ya wadhamini ligi kuuu, kitanuka tena kwa hakika

Msukule wanaye pale. Atawasaidia hakika.
Wale ndiyo wataalamu wa logo utasikia we ushawahi kuona wapi simba mwekundu lakini wanatumia noti za 10,000 zenye tembo mwekendu na logo yao ina watu wa kijani na njano wengine wanacheza netball na ngumi halafu wanakuambia wao ndiyo wataalamu wa branding
 
Hata wakiweka Simba wa kijani bado ni Simba tu[emoji23][emoji2]
 
Nimesikia na SIMB DUMU nao wamekua motivated wanataka kudhamini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…