Simba chini ya Robertinho haijafungwa hadi sasa na haitegemei kufungwa

Metronidazole 400mg

JF-Expert Member
Joined
Aug 25, 2016
Posts
941
Reaction score
2,062
Hii iko wazi kabisaa na haturudii makosa Mara mbili, mtangojaa sanaaaa!

Sisi waleeee. Na kimataifa nangoja sana pale group stage Kanda mbili wanachomokea wapi.
 
Kumbe wale Raja waliifunga Simba ya Mgunda? Horoya, na Wydad je waliifunga Simba ya nani? Kujifariji ni jambo zuri sana ila mpira unaonekana uwanjani. Kama timu ina ruhusu goli kwa zaidi ya asilimia 60 basi kufungwa ni kitu rahisi sana. Wale power dynamo ni timu ya kawaida sana ila chupu chupu. Tuendelee kukaa kwa kutulia tusubiri muda utaamua
 
Hii iko wazi kabisaa na haturudii makosa Mara mbili, mtangojaa sanaaaa!

Sisi waleeee. Na kimataifa nangoja sana pale group stage Kanda mbili wanachomokea wapi.
Tusije tu kusikia tena zile kelele zenu za kumkataa Robertinho.

Maana kuna mechi 4 ngumu ziko mbele yenu! Mechi ya leo dhidi Prisons, Singida Fountain Gate, Mashujaa Fc, na Al Ahly!!
 
Tusije tu kusikia tena zile kelele zenu za kumkataa Robertinho.

Maana kuna mechi 4 ngumu ziko mbele yenu! Mechi ya leo dhidi Prisons, Singida Fountain Gate, Mashujaa Fc, na Al Ahly!!
Shida iko wapi kaka....wacha inyeshe tuone panapo vujaa....Ni wazi mechi itakuwa ngumu ila naamini katika wachezaji wangu na mpira huu ilimradi pointi tatu na malengo ya timu yasivunjike
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…