Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,775
- 29,746
Kwa mashabiki 10,000 wa kwanza kufika uwanjani kesho katika #SimbaDay2023 watapewa fomu ambazo watazijaza na washindi watatu watapatikana kutoka kwenye droo ambayo itachezeshwa na Blueberry Travel Tanzania.
🛑 Mshindi wa kwanza atapata nafasi ya kutembelea Dubai.
🛑 Mshindi wa pili atapata nafasi ya kutembelea nchi yoyote ya Afrika Mashariki ambayo atachagua.
🛑 Mshindi wa tatu atapata nafasi ya kulipiwa tiketi ya ndege kwenda mkoa wowote ndani ya Tanzania.
Hakuna gharama kwa mtu yoyote ya kujaza fomu hizi na washindi watatangazwa kwenye kurasa zetu. #SimbaDay2023 #UnyamaMwingi #NguvuMoja
🛑 Mshindi wa kwanza atapata nafasi ya kutembelea Dubai.
🛑 Mshindi wa pili atapata nafasi ya kutembelea nchi yoyote ya Afrika Mashariki ambayo atachagua.
🛑 Mshindi wa tatu atapata nafasi ya kulipiwa tiketi ya ndege kwenda mkoa wowote ndani ya Tanzania.
Hakuna gharama kwa mtu yoyote ya kujaza fomu hizi na washindi watatangazwa kwenye kurasa zetu. #SimbaDay2023 #UnyamaMwingi #NguvuMoja