Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
Vunja Bei ameshakamilisha kubandika matangazo ya Mwamedi kwenye hayo malonyalonya yenu?
Kweli hii ndio maana halisi ya Mbumbumbu,baada ya kushika hiyo namba mmenufaika niniView attachment 1908940View attachment 1908939
Tuoneshe utopolo hapa [emoji2960][emoji2960][emoji2960]
Kwanza c uone hatuanzi vidudu kule CAF kama nyie. Au huna macho na masikio [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kweli hii ndio maana halisi ya Mbumbumbu,baada ya kushika hiyo namba mmenufaika nini
"YANGA hatutaki jezi zenye makorokocho makorokocho"
Tena watamgawana balaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Simba anajifua huko Moroco ili kujiandaa kubeba mataji,yeye Haji aendelee na porojo zake ila akae akijua siku zikitimia atafukuzwa kama mbwa mwizi kwasababu wanamjua hana itikadi ya Yanga kafate pesa tu.
Yale ma bango ya gsm foam ya nini mle kwenye jezi yenye vibwengo na vikatuni yaani kichekesho saana. Jezi zina vibwengo na vikatuni.?. [emoji2960][emoji2960][emoji2960]Vunja Bei ameshakamilisha kubandika matangazo ya Mwamedi kwenye hayo malonyalonya yenu?
Yule FC Platnumz ambaye alipigwa bao 6 na Yanga ndio kawa wa 22? Hivi ni vichekesho kabisa.
Kinachonichekesha zaidi ni kuona nkana kuwa ni klabu bora zaidi kuliko Yanga barani Afrika, Yaani Nkana FC ambaye alinusurika kushuka daraja msimu uliopita wa ligikuu Zambia.[emoji16][emoji16]
Manara alivyo na akili mbovu anaweza kukuonyesha yanga hapo?View attachment 1908940View attachment 1908939
Tuoneshe utopolo hapa [emoji2960][emoji2960][emoji2960]
Kweli yule hujasikia anasema yanga ndio timu kubwa afrika yote [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Manara alivyo na akili mbovu anaweza kukuonyesha yanga hapo?
Eti leo hii kwenye viwango vya ubora Makorokoro FC (ambao hawajawahi kubeba ndoo ya CAF) iko juu ya AS Vita (ambayo imewahi kubeba ndoo ya CAF).View attachment 1908940View attachment 1908939
Tuoneshe utopolo hapa [emoji2960][emoji2960][emoji2960]
Wewe wasema viwango vinaangaliwa kwa wakati uliopo wewe vipi..? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Eti leo hii kwenye viwango vya ubora Makorokoro FC (ambao hawajawahi kubeba ndoo ya CAF) iko juu ya AS Vita (ambayo imewahi kubeba ndoo ya CAF).
[emoji23][emoji23]eti malonya lonya.Vunja Bei ameshakamilisha kubandika matangazo ya Mwamedi kwenye hayo malonyalonya yenu?
Ila zenye misukule mnazitaka"YANGA hatutaki jezi zenye makorokocho makorokocho"
mnataka yale madekio yenu chapa mwamedi.Ila zenye misukule mnazitaka
Daaaaaah mbwa mbwa tu. Mbwa fc unauliza swali la kijinga hivyo. Timu kubwa zinaanzia round ya kwanza, sio vidudu kama Nyani fc ulivyowekwa kwenye poti la mwishoKweli hii ndio maana halisi ya Mbumbumbu,baada ya kushika hiyo namba mmenufaika nini
Yaani kuweka chapa GSM hakaona haitoshi, akaona nyie manyani awawekee na misukule kwenye jezimnataka yale madekio yenu chapa mwamedi.
[emoji2960][emoji2960][emoji2960] vile vibwengo mle kwenye hayo ma wallpaper yao aisee noma.Yaani kuweka chapa GSM hakaona haitoshi, akaona nyie manyani awawekee na misukule kwenye jezi
Mbwa fc siwezi kukushangaa kubweka bweka ujinga huu. Maana manyani nyie mnaendelea kujifariji kujiita mabingwa wa kihistoriaEti leo hii kwenye viwango vya ubora Makorokoro FC (ambao hawajawahi kubeba ndoo ya CAF) iko juu ya AS Vita (ambayo imewahi kubeba ndoo ya CAF).