Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani kakoseafatilia ya nigeria mkuu
Ameenda kuzimbika utopoloNafasi ya Haji Manara imebaki wazi Simba. Kamwaga, Masao Mbwire na Salma Ngale kwa pamoja ni pungufu ya Haji Manara. Wamegeuka hanyahanya fc
Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni. Haji hazibiki.
Jiandae kisaikolojia Yanga Leo anashinda mechi yake huko Nigeria .Kipigo chako wewe kwenye ngao ya jamii ni wiki ijayo tu Siyo mbali 25/9/2021.Wewe Nyama pori(Simba)Utaliwa na kutafunwa bila huruma .fatilia ya nigeria mkuu
😀😀😀😀Jiandae kisaikolojia Yanga Leo anashinda mechi yake huko Nigeria .Kipigo chako wewe kwenye ngao ya jamii ni wiki ijayo tu Siyo mbali 25/9/2021.Wewe Nyama pori(Simba)Utaliwa na kutafunwa bila huruma . Yanga imejipanga kweli kweli kuchukua makombe yote msimu huu mkubali mkatae .Ole wao wanaocheka sasa maana badae watalia na kusaga meno.Mashabiki wa Simba mjiandae kisaikolojia
Waweke Screen kubwa pale uwanja wa Uhuru, kiingilio iwe Buku ili Utopolo wajifunze kitu kingine kipya cha kuiga.All tickets sold out.
[emoji1319][emoji1319][emoji1303] umemjibu vzr saanafatilia ya nigeria mkuu
Jua yako huko Nigeria ikiwezekana mchezesheni na huyo msukule,, huku taifa ticket zimeisha tunasubiri burudani,, eti bila haji.. we huyo haji ungemjua bila kuletwa pale na simba? Yani kinyago ukichonge mwenyewe afu kikutishe uto bwana!!Nafasi ya Haji Manara imebaki wazi Simba. Kamwaga, Masao Mbwire na Salma Ngale kwa pamoja ni pungufu ya Haji Manara. Wamegeuka hanyahanya fc
Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni. Haji hazibiki.
Kwani yanga baada ya kumleta manara wamekuwa wangapi?Hilo alipingiki wanalijua sana lakini awawezi kukubali wanaumia kimoyo moyo, manara ni habari nyingine, wamekodi watu 4 kukover nafasi ya manara lakini bado tu kuna ombwe
Amka home boy hizi ni ndoto sio ukweli🙄🙄Jiandae kisaikolojia Yanga Leo anashinda mechi yake huko Nigeria .Kipigo chako wewe kwenye ngao ya jamii ni wiki ijayo tu Siyo mbali 25/9/2021.Wewe Nyama pori(Simba)Utaliwa na kutafunwa bila huruma . Yanga imejipanga kweli kweli kuchukua makombe yote msimu huu mkubali mkatae .Ole wao wanaocheka sasa maana badae watalia na kusaga meno.Mashabiki wa Simba mjiandae kisaikolojia
Hata mo kaletwa na Simba mbona siku aliposema ajiuzilu mlijikojolea? Huna hoja hhapo kwa Manara.Jua yako huko Nigeria ikiwezekana mchezesheni na huyo msukule,, huku taifa ticket zimeisha tunasubiri burudani,, eti bila haji.. we huyo haji ungemjua bila kuletwa pale na simba? Yani kinyago ukichonge mwenyewe afu kikutishe uto bwana!!
Nafasi ya Haji Manara imebaki wazi Simba. Kamwaga, Masao Mbwire na Salma Ngale kwa pamoja ni pungufu ya Haji Manara. Wamegeuka hanyahanya fc
Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni. Haji hazibiki.