Simba day bila Manara ni vuruvuru

Simba day bila Manara ni vuruvuru

Nafasi ya Haji Manara imebaki wazi Simba. Kamwaga, Masao Mbwire na Salma Ngale kwa pamoja ni pungufu ya Haji Manara. Wamegeuka hanyahanya fc

Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni. Haji hazibiki.
Ameenda kuzimbika utopolo
 
fatilia ya nigeria mkuu
Jiandae kisaikolojia Yanga Leo anashinda mechi yake huko Nigeria .Kipigo chako wewe kwenye ngao ya jamii ni wiki ijayo tu Siyo mbali 25/9/2021.Wewe Nyama pori(Simba)Utaliwa na kutafunwa bila huruma .

Yanga imejipanga kweli kweli kuchukua makombe yote msimu huu mkubali mkatae .Ole wao wanaocheka sasa maana badae watalia na kusaga meno.Mashabiki wa Simba mjiandae kisaikolojia
 
Jiandae kisaikolojia Yanga Leo anashinda mechi yake huko Nigeria .Kipigo chako wewe kwenye ngao ya jamii ni wiki ijayo tu Siyo mbali 25/9/2021.Wewe Nyama pori(Simba)Utaliwa na kutafunwa bila huruma . Yanga imejipanga kweli kweli kuchukua makombe yote msimu huu mkubali mkatae .Ole wao wanaocheka sasa maana badae watalia na kusaga meno.Mashabiki wa Simba mjiandae kisaikolojia
😀😀😀😀
 
Siku hizi Simba haishtui kabsa yaani hata ishinde vip imekuwa kama kiporo vile
 
Nafasi ya Haji Manara imebaki wazi Simba. Kamwaga, Masao Mbwire na Salma Ngale kwa pamoja ni pungufu ya Haji Manara. Wamegeuka hanyahanya fc

Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni. Haji hazibiki.
Jua yako huko Nigeria ikiwezekana mchezesheni na huyo msukule,, huku taifa ticket zimeisha tunasubiri burudani,, eti bila haji.. we huyo haji ungemjua bila kuletwa pale na simba? Yani kinyago ukichonge mwenyewe afu kikutishe uto bwana!!
 
Jiandae kisaikolojia Yanga Leo anashinda mechi yake huko Nigeria .Kipigo chako wewe kwenye ngao ya jamii ni wiki ijayo tu Siyo mbali 25/9/2021.Wewe Nyama pori(Simba)Utaliwa na kutafunwa bila huruma . Yanga imejipanga kweli kweli kuchukua makombe yote msimu huu mkubali mkatae .Ole wao wanaocheka sasa maana badae watalia na kusaga meno.Mashabiki wa Simba mjiandae kisaikolojia
Amka home boy hizi ni ndoto sio ukweli🙄🙄
 
Nafikiria tuhiviitakuaje haji anatinga hapo uwanjani saa hii na jezi yetu wananchi.....aise ...watamla nyama
 
Jua yako huko Nigeria ikiwezekana mchezesheni na huyo msukule,, huku taifa ticket zimeisha tunasubiri burudani,, eti bila haji.. we huyo haji ungemjua bila kuletwa pale na simba? Yani kinyago ukichonge mwenyewe afu kikutishe uto bwana!!
Hata mo kaletwa na Simba mbona siku aliposema ajiuzilu mlijikojolea? Huna hoja hhapo kwa Manara.

Ona sasa wasemaji Leo wako kibaao kwa Haji mmoja TU.
 
Nafasi ya Haji Manara imebaki wazi Simba. Kamwaga, Masao Mbwire na Salma Ngale kwa pamoja ni pungufu ya Haji Manara. Wamegeuka hanyahanya fc

Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni. Haji hazibiki.
1632046362426.png
 
Manara ni nani bwana simba kazaliwa kaikuta......sasa huyo msukule ndo aitishe simba hebu fuatilieni ya Nigeria maana kuna kitu kizito kitawapiga leo mpaka mwiko uchomoke hapo nyuma
 
Uwanja Leo unajaa, burudani za moto hapa!


Mkuu unateswa na Kapumbu ukiwa wapi?

Njoo taifa ule burudani wewe!!
 
Back
Top Bottom