Albinoomweusi
JF-Expert Member
- Oct 28, 2016
- 3,433
- 8,585
Uwanja una viti elfu 60, Yanga ilikuwa na watazamaji 40,000 na ushee. Una maana gani kusema amejaza uwanja?kama hujui maana ya kujaza basi jipange
Umewamaliza. Ila ksbb mikia uwezo wao ni kuongea sana kuliko vitendo. Yule mropokaji wao anawadanganya.Mikia inabidi mkafanye mtihani wa IQ ...unasema Zambia iko juu kisoka kuliko Kenya ?mbona Zambia hawakuwepo AFCON 2019....Zambia kizazi Cha dhahabu kimeshapotea..Kariobang sharks waliwavimbia Everton hao Power Daynamos wangeweza kwa jinsi wanavyocheza?kujaza uwanja kwani huko nyuma hamkuwahi kufanya tamasha weekend?Sifia Yanga wamefanya kazi nzuri..mara ya kwanza hamasa ilikuwa juu..itakuwaje mwakani?mwisho Manara ana kesi mahakamani amefanya Nini???
Mikia inabidi mkafanye mtihani wa IQ ...unasema Zambia iko juu kisoka kuliko Kenya ?mbona Zambia hawakuwepo AFCON 2019....Zambia kizazi Cha dhahabu kimeshapotea..Kariobang sharks waliwavimbia Everton hao Power Daynamos wangeweza kwa jinsi wanavyocheza?kujaza uwanja kwani huko nyuma hamkuwahi kufanya tamasha weekend?Sifia Yanga wamefanya kazi nzuri..mara ya kwanza hamasa ilikuwa juu..itakuwaje mwakani?mwisho Manara ana kesi mahakamani amefanya Nini???
Wakuu Kwema?
Hapo Kabla kwa mara ya kwanza, timu ya Yanga ilifanya tamasha lake la kutambulisha wachezaji wake wapya iliyowasajili msimu huu, pamoja na wanaoendelea. Tamasha hili lilikwenda kwa jina la Wananchi Day.
Kwa upande wa watani wao wa jadi, Wekundu wa Msimbazi, Simba S. C nao walifanya tamasha lao kama kawaida yao hapo jana ili kutambulisha kikosi chao nao, wapya na wanaoendelea.
Sasa basi ningependa tujadili juu ya matamasha haya mawili, utani wa jadi hauko kwenye pitch tu, hata matukio kama haya tunashindana pia kujua nani kafanikiwa zaidi ya mwengine. Nitaanza kulinganisha kama ifuatavyo,
KUJAZA UWANJA
Ni Wazi kwa matamasha yote mawili uwanja ulijaa. So kila timu imefanikiwa kwa hilo. Ila Simba inafanikiwa zaidi sababu imeweza kujaza Uwanja siku Kazi (Jumanne) wakati Yanga ilijaza Uwanja siku ya Mapumziko.
Inawezekana kabisa Simba wangefanya tamasha lao siku ya Mapumziko basi Uwanja "Ungetapika" zaidi ya Jana. Au Yanga wakafanya tamasha lao siku ya kazi basi wangeshuhudiwa na Mashabiki Wachache + Viti Vitupu!!
VIKOSI
Simba inaonekana kua na kikosi bora kuliko Yanga, sababu kwa hesabu za kawaida tu Simba imeshinda kwa tofauti ya Magoli mawili wakati Yanga imesuluhu.
Pia ikumbukwe kua Zambia wako juu kisoka kuliko Kenya, hivyo inawezekana kabisa Simba imecheza na timu bora zaidi kuliko Yanga.
Kwa muono wangu huu, juu ya haya machache basi Simba imefanikiwa zaidi kuliko Yanga. Karibuni kwenye mjadala...!!!
Huyu Jamaa ni habari kubwa huko jangwani 😂😂😂mwisho Manara ana kesi mahakamani amefanya Nini?
una compare kama fiv ? weweWakuu Kwema?
Hapo Kabla kwa mara ya kwanza, timu ya Yanga ilifanya tamasha lake la kutambulisha wachezaji wake wapya iliyowasajili msimu huu, pamoja na wanaoendelea. Tamasha hili lilikwenda kwa jina la Wananchi Day.
Kwa upande wa watani wao wa jadi, Wekundu wa Msimbazi, Simba S. C nao walifanya tamasha lao kama kawaida yao hapo jana ili kutambulisha kikosi chao nao, wapya na wanaoendelea.
Sasa basi ningependa tujadili juu ya matamasha haya mawili, utani wa jadi hauko kwenye pitch tu, hata matukio kama haya tunashindana pia kujua nani kafanikiwa zaidi ya mwengine. Nitaanza kulinganisha kama ifuatavyo,
KUJAZA UWANJA
Ni Wazi kwa matamasha yote mawili uwanja ulijaa. So kila timu imefanikiwa kwa hilo. Ila Simba inafanikiwa zaidi sababu imeweza kujaza Uwanja siku Kazi (Jumanne) wakati Yanga ilijaza Uwanja siku ya Mapumziko.
Inawezekana kabisa Simba wangefanya tamasha lao siku ya Mapumziko basi Uwanja "Ungetapika" zaidi ya Jana. Au Yanga wakafanya tamasha lao siku ya kazi basi wangeshuhudiwa na Mashabiki Wachache + Viti Vitupu!!
VIKOSI
Simba inaonekana kua na kikosi bora kuliko Yanga, sababu kwa hesabu za kawaida tu Simba imeshinda kwa tofauti ya Magoli mawili wakati Yanga imesuluhu.
Pia ikumbukwe kua Zambia wako juu kisoka kuliko Kenya, hivyo inawezekana kabisa Simba imecheza na timu bora zaidi kuliko Yanga.
Kwa muono wangu huu, juu ya haya machache basi Simba imefanikiwa zaidi kuliko Yanga. Karibuni kwenye mjadala...!!!
Ni Mbumbumbu squared.mashabiki wa simba bure kabisa
LETE DATA KAMILI SIO STORY ZA VIJIWE VYA KAHAWA...ETI 40,000 HAHAHAUwanja una viti elfu 60, Yanga ilikuwa na watazamaji 40,000 na ushee. Una maana gani kusema amejaza uwanja?kama hujui maana ya kujaza basi jipange
YANGA INAWAUMIZA VICHWA SANA NYIE MIKIA FCWakuu Kwema?
Hapo Kabla kwa mara ya kwanza, timu ya Yanga ilifanya tamasha lake la kutambulisha wachezaji wake wapya iliyowasajili msimu huu, pamoja na wanaoendelea. Tamasha hili lilikwenda kwa jina la Wananchi Day.
Kwa upande wa watani wao wa jadi, Wekundu wa Msimbazi, Simba S. C nao walifanya tamasha lao kama kawaida yao hapo jana ili kutambulisha kikosi chao nao, wapya na wanaoendelea.
Sasa basi ningependa tujadili juu ya matamasha haya mawili, utani wa jadi hauko kwenye pitch tu, hata matukio kama haya tunashindana pia kujua nani kafanikiwa zaidi ya mwengine. Nitaanza kulinganisha kama ifuatavyo,
KUJAZA UWANJA
Ni Wazi kwa matamasha yote mawili uwanja ulijaa. So kila timu imefanikiwa kwa hilo. Ila Simba inafanikiwa zaidi sababu imeweza kujaza Uwanja siku Kazi (Jumanne) wakati Yanga ilijaza Uwanja siku ya Mapumziko.
Inawezekana kabisa Simba wangefanya tamasha lao siku ya Mapumziko basi Uwanja "Ungetapika" zaidi ya Jana. Au Yanga wakafanya tamasha lao siku ya kazi basi wangeshuhudiwa na Mashabiki Wachache + Viti Vitupu!!
VIKOSI
Simba inaonekana kua na kikosi bora kuliko Yanga, sababu kwa hesabu za kawaida tu Simba imeshinda kwa tofauti ya Magoli mawili wakati Yanga imesuluhu.
Pia ikumbukwe kua Zambia wako juu kisoka kuliko Kenya, hivyo inawezekana kabisa Simba imecheza na timu bora zaidi kuliko Yanga.
Kwa muono wangu huu, juu ya haya machache basi Simba imefanikiwa zaidi kuliko Yanga. Karibuni kwenye mjadala...!!!
Takwimu za FIFA ranking, Zambia iko juu kuliko Kenya, CAF wameipa Zambia nafasi 4 ktk CAF champions and Confedaration Leagues, hiyo haitoshi kukupa picha nani zaidi kati ya Zambia na Kenya?Mikia inabidi mkafanye mtihani wa IQ ...unasema Zambia iko juu kisoka kuliko Kenya ?mbona Zambia hawakuwepo AFCON 2019....Zambia kizazi Cha dhahabu kimeshapotea..Kariobang sharks waliwavimbia Everton hao Power Daynamos wangeweza kwa jinsi wanavyocheza?kujaza uwanja kwani huko nyuma hamkuwahi kufanya tamasha weekend?Sifia Yanga wamefanya kazi nzuri..mara ya kwanza hamasa ilikuwa juu..itakuwaje mwakani?mwisho Manara ana kesi mahakamani amefanya Nini???
Hapo sawaNi uchambuzi wa hali ya chini kabisa....Huwezi ukasema kwa kuwa Liverpool imeifunga Lille mabao 3-1 na Man City ikatoka sare na Sevilla ya Hispania eti ina maana kuwa Liverpool iko juu