Simba Day ya 2024 bora iahirishwe tu, naona kuna kila dalili wakajazana viongozi tu

Simba Day ya 2024 bora iahirishwe tu, naona kuna kila dalili wakajazana viongozi tu

Leonel Ateba Mbinda

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2023
Posts
644
Reaction score
2,695
Sijui mtafanya nn mwaka huu Simba day ili mjaze uwanja, watu wamekata kabisa tamaa na timu, jana nilikuwepo uwanja wa Majaliwa Stadium tukidhalilika kwa Namungo dakika ya 89, kwanza washabiki hawakuwa na time na Simba kabisa, hakukuwa na magari ya mashabiki kutoka masasi, liwale, nachingwea, Tunduru wala Mtwara, hii ni dalili mbaya sana.

Brand imepotezwa na watu wanaong'ang'ania kazi wakati wameshashindwa.

Nani atakwenda Simba Day 2024?

Labda awepo Feitoto, Dube ingawa ni ngumu lkn bila hivyo aaaah wapi, nendeni tu.
 
Sijui mtafanya nn mwaka huu Simba day ili mjaze uwanja, watu wamekata kabisa tamaa na timu, jana nilikuwepo uwanja wa Majaliwa Stadium tukidhalilika kwa Namungo dakika ya 89, kwanza washabiki hawakuwa na time na Simba kabisa, hakukuwa na magari ya mashabiki kutoka masasi, liwale, nachingwea, Tunduru wala Mtwara, hii ni dalili mbaya sana.

Brand imepotezwa na watu wanaong'ang'ania kazi wakati wameshashindwa.

Nani atakwenda Simba Day 2024?

Labda awepo Feitoto, Dube ingawa ni ngumu lkn bila hivyo aaaah wapi, nendeni tu.
😂😂😂😂😂😂🫠🫠🫠😂
 
Kama makonda kajaza uwanja simba ndo watashindwa? Watampeleka hata diara tu 😀😀 mradi uwanja ujae.
 
Basi, Kama Kwa Utopolo wanavyofanya kujaza uwanja ni Bure 'Fungulia Umbwa'.. tuishauri Simba waingize Mashabiki Bure Simba day...

Ila Mashabiki Wa Simba hizo Sio shida Zao, Kujaza Sio ishu kwao
 
Hata uzi tu wana 5imba wameukimbia, 5imba dei watakimbia......
 
Sijui mtafanya nn mwaka huu Simba day ili mjaze uwanja, watu wamekata kabisa tamaa na timu, jana nilikuwepo uwanja wa Majaliwa Stadium tukidhalilika kwa Namungo dakika ya 89, kwanza washabiki hawakuwa na time na Simba kabisa, hakukuwa na magari ya mashabiki kutoka masasi, liwale, nachingwea, Tunduru wala Mtwara, hii ni dalili mbaya sana.

Brand imepotezwa na watu wanaong'ang'ania kazi wakati wameshashindwa.

Nani atakwenda Simba Day 2024?

Labda awepo Feitoto, Dube ingawa ni ngumu lkn bila hivyo aaaah wapi, nendeni tu.
Simba kwa sasa,ni kwamba tumezidiwa sana akili na yanga.Wametuwekea mwenyekiti,Mangungo,walituwekea Majula.Wamefanikiwa kuiua simba.Mo naye ni tajiri wa mchongo tu.Anazidiwa na muuza magodoro.
Kwa kweli nimejikuta nauchukia mpira bongo maana umejaa uigizaji.Unaweza kupigwa 5 na yanga kumbe una wachezaji kama akina inonga wana bei tayari kwa mpinzani.
Timu nzima inacheza kama wamelazimishwa kucheza,hakuna mtu atakuwa na hamu na timu.
 
Simba kwa sasa,ni kwamba tumezidiwa sana akili na yanga.Wametuwekea mwenyekiti,Mangungo,walituwekea Majula.Wamefanikiwa kuiua simba.Mo naye ni tajiri wa mchongo tu.Anazidiwa na muuza magodoro.
Kwa kweli nimejikuta nauchukia mpira bongo maana umejaa uigizaji.Unaweza kupigwa 5 na yanga kumbe una wachezaji kama akina inonga wana bei tayari kwa mpinzani.
Timu nzima inacheza kama wamelazimishwa kucheza,hakuna mtu atakuwa na hamu na timu.
Derby huwa hakuna hujuma, mmekandwa kihalali tu ila wewe bado huukubali mziki wa Yanga na bado!! sisi uto tunamtaka Kibu tu ambae anacheza kwa falsafa za Yanga kukaba sana, kukimbia kwa kasi, kupambania timu kama ya baba yako, inonga hana nafasi Yanga.

Hata Clatous Chama mi simuoni akifit mpira wa kasi wa Yanga inayocheza kufunga tu na si kuonesha mashabiki kumiliki au kucheza kwa masifa kama Simba , Chama bakini nae huko kolokoloni kwenu tupeni Kibu tu
 
Back
Top Bottom