Simba day yaingiza milion 376

ZionGate

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
6,362
Reaction score
2,991
Kulingana na takwimu zilizotolewa na kampuni ya Selcom, Simba imevuna zaidi ya Milioni 376 kupitia Tamasha lake la Simba Day lililohitimishwa uwanja wa Taifa juzi

Mashabiki zaidi ya 58,000 waliingia uwanjani kuushuhudia mchezo huo

Takwimu hizo ni zaidi ya walizopata watani zao Yanga ambao mashabiki takribani 48,000 waliingia uwanjani na kuvuna Milioni 283

Takwimu hizo pia zinafunga mjadala wa ni klabu ipi iliingiza mashabiki wengi
 
Kwa kuweka hadharani figure hizi, kuna wale wazee wawili wa pande zote "wenye hati" mtawafanya wajichimbie zaidi kama mbuyu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…