Simba Duumeeeeh!

wehu leo mtawehuka kiukweli!!!

sio mbaya Yanga kaamua kumfurahisha demu wake walau afurahie ka hisani,

kazi october, full kupewa mimba tena kuuuubwa!!


cha muhimu Tumempa sweetie wetu kaamani ili akatafute hotel nzuri ya kufurahia honeymoon tutakapooa jumla.
 
<br />
<br />
We kandambili acha wehu! Nani aliyekuwa kalegea mbendembende akipumua pumz ndefu akisubiri softkilling kama sio Yeboyebo? Kayebo hoi,vilikua vilio maalum tu ndani ya uwanja,bao mbili tu za fastafasta kutoka kwa Simba dume wa shoka! Hivi hakuna mabaki ya kulowana hapo uwanjani! Simba Dumeee!
 
Hivi ngao ya hisani winner analamba ngapi vile?
<br />
<br />
Sisi hatujui wanalamba ngapi hata kama wanagombania kombe la mbuzi ajenda hapa ni kumfunga Yanga hatujali tumepata nini tunachojali ni ushindi tu, unampanga golini Kado kikwetu kado ni kadogo maanake hakawezi kufanya kitu.
 
Simba Vs Kagera Sugar
Simba Vs Toto
Halafu iwe hivi:-
SIMBA VS REAL MADRID.

Hapo ndo tuchangigie.

Wote mnachangia mpira wa TANZANIA bado ni Vipofu!!! Samahani ila ndo ukweli.
Turudi kwenye umeme na UFISADI Mpira hatuwezi.
 
<br />
<br />
nyie ndo wehu kwani km mngetaka kumfurahi demu wenu kwa nini viongozi wenu wawashike TEGETE,KANAVARO na NSAJIGWA kwamba ni wahujumu wa mechi hiyo.Huwa sishangai kwan yanga akipakatwa na mnyama migogoro huwaka huko jangwani
 
<br />
<br />
Jiangalie ndio maana kuna majukwaa mengi humu ndani kuna hadi jukwaa la mapenzi na utani,unajadili ufisadi na umeme kwenye jukwaa la siasa hili ni jukwaa la michezo,tunajadili timu zetu na sio timu za ulaya,hatuwawezi kiuchumi tunapata wapi ujasili wa kufananisha tim zao na zetu?kajadili umeme na ufisadi kwenye jukwaa maalum.tuachie jukwaa letu la michezo inaelekea hujui chochote huku
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Kama unadhani mpira hatuwezi kumbe tunaweza nini? Wenzetu kila kitu kwao ni bora kama hushabikii mpira wa Tanzania kwa sababu uko chini na wewe ni mtanzania na uko Tanzania probably, ndugu nakushauri kwanza uhame Tanzania maana kila kitu chetu kiko chini, uache kutumia hela za Tanzania maana kila siku thamani inaporomoka, usipite barabara za Tanzania maana zina mashimo halafu ni nyembamba na nyingi ni za vumbi tofauti na za Real madrid, usikae nyumbani kwako maana hakuna umeme na maji ni shida, ukiugua ukatibiwe ulaya maana madaktari wetu badala ya kupasua mguu wanapasua kichwa, mwenyewe ukasome ulaya na familia yako yote maana elimu yetu iko chini vile vile, ukatafuta ndugu zako wengine ulaya maana naamini ndugu zako wengi tu ni masikini, ukienda kusalimia ndugu zako kokote utafute kampuni ya mabasi ya real madrid maana mabasi ni siku ajali, ukiwa na kesi utafute wanasheria wazungu na kesi iendeshwe ulaya maana mahakama zetu ni rushwa tupu, muda wote uangalie cnn, bbc maana vyombo vyetu vya habari hamna kitu.<br />
<br />
Kwa kifupi kama unadharau mpira wa Tz na sababu ni kwamba bado uko chini basi unatakiwa uache kutumia huduma za Tanzania maana zote ziko chini ukilinganisha na ulaya.
 
Simba2 v/s JKT Orjolo 0. Yanga 0 v/s JKT Ruvu 1. Kwa matokeo haya Jangwani kutakuwa hakukaliki! Kwani ni masiku machache tu wametoka kukatwa ngebe na Wanamsimbazi kwa bao mbili bila ya majibu. Timbeee unahali ngumu kwa kandambili! Simba hoyeeeee!
 
Angalia mawzo ya kumwambia bibio na ya kuleta humu jamvini
pole na hongera
 
Tatizo ni golikipa... Mgana kaumia; tutafika ...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…