First Born
JF-Expert Member
- Jul 11, 2011
- 5,312
- 1,475
<br />wehu leo mtawehuka kiukweli!!!<br />
<br />
sio mbaya Yanga kaamua kumfurahisha demu wake walau afurahie ka hisani, <br />
<br />
kazi october, full kupewa mimba tena kuuuubwa!!<br />
<br />
<br />
cha muhimu Tumempa sweetie wetu kaamani ili akatafute hotel nzuri ya kufurahia honeymoon tutakapooa jumla.
<br />Hivi ngao ya hisani winner analamba ngapi vile?
<br />wehu leo mtawehuka kiukweli!!!<br />
<br />
sio mbaya Yanga kaamua kumfurahisha demu wake walau afurahie ka hisani, <br />
<br />
kazi october, full kupewa mimba tena kuuuubwa!!<br />
<br />
<br />
cha muhimu Tumempa sweetie wetu kaamani ili akatafute hotel nzuri ya kufurahia honeymoon tutakapooa jumla.
<br />Simba Vs Kagera Sugar<br />
Simba Vs Toto<br />
Halafu iwe hivi:-<br />
SIMBA VS REAL MADRID.<br />
<br />
Hapo ndo tuchangigie.<br />
<br />
Wote mnachangia mpira wa TANZANIA bado ni Vipofu!!! Samahani ila ndo ukweli.<br />
Turudi kwenye umeme na UFISADI Mpira hatuwezi.
<br /><br />Simba Vs Kagera Sugar<br /><br />
Simba Vs Toto<br /><br />
Halafu iwe hivi:-<br /><br />
SIMBA VS REAL MADRID.<br /><br />
<br /><br />
Hapo ndo tuchangigie.<br /><br />
<br /><br />
Wote mnachangia mpira wa TANZANIA bado ni Vipofu!!! Samahani ila ndo ukweli.<br /><br />
Turudi kwenye umeme na UFISADI Mpira hatuwezi.
Angalia mawzo ya kumwambia bibio na ya kuleta humu jamvini
pole na hongera