Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wadau
kwa muda nimekuwa nikichangia SIMBA kupitia ile huduma ya ujumbe wa taarifa za klabu. Kwa sasa naona inatosha. Msaada Kwa yoyote anaye fahamu ni jinsi gani ya kujitoa ktk huduma hiyo.
Asante
Kwanini sasa unajiondoa mdau mwenzetu? Au humpendi Rage na Kaburu? Manake nina imani sio kipigo ndio kinakukimbiza manake ile ni sehemu ya soka. Huoni Liverpool bana hapo EnglandWadau
kwa muda nimekuwa nikichangia SIMBA kupitia ile huduma ya ujumbe wa taarifa za klabu. Kwa sasa naona inatosha. Msaada Kwa yoyote anaye fahamu ni jinsi gani ya kujitoa ktk huduma hiyo.
Asante
Kwanini sasa unajiondoa mdau mwenzetu? Au humpendi Rage na Kaburu? Manake nina imani sio kipigo ndio kinakukimbiza manake ile ni sehemu ya soka. Huoni Liverpool bana hapo England