Hongera kwa kuanzisha thread na wwKila mwenye macho ameona kitendo walichofanya Simba cha kususia zawadi ya mshindi wa pili na huku mchezaji akipotea zawadi ya mchezaji bora ikiwa inatoka kwa mdhamini yule yuleView attachment 514536 Je ndo kusema mmekubaliana na hali halisi na vipi kuhusu zile anwani za Dhl?
Sitaki kuamini kuwa Simba ndiyo wameandika hovyo kiasi hiki. Je, maafisa habari wao hawakufunzwa kuandika?
Jina la mtu siku zote huanza na herufi kubwa, Shirikisho la mpira (TFF), huwezi kulifupisha kwa herufi ndogo namna hiyo. Sikubaliani kabisa......
Nadhani hizi ni Figisu za watani wetu Yanga, wanajaribu kujitekenya na kucheka wenyewe.....
Kwa hiyo points za table tennis bado Simba wanazitaka?Mleta mada ndiye aliyetengeneza hicho kipeperushi kwa nia ya kuikejeli Simba
Una taarifa lkn km rais wenu kaomba radhi kwa kugomea tuzo ya mshindi wa pili na ss kakubali rasmi km kweli ni washindi wa pili?Hongera kwa kuanzisha thread na ww
Hujui kutofautisha kuna kujumlisha na msalaba
Simba wamegoma kwa sabb ya zile point za kagera je zimbwe angegoma kwa sbb zpi
Andunje Wa Wa ufahamu kuhusu mpira
Hiyo tuzo ni mali ya mchezaji binafsi sio ya klabu.Kila mwenye macho ameona kitendo walichofanya Simba cha kususia zawadi ya mshindi wa pili na huku mchezaji akipotea zawadi ya mchezaji bora ikiwa inatoka kwa mdhamini yule yuleView attachment 514536 Je ndo kusema mmekubaliana na hali halisi na vipi kuhusu zile anwani za Dhl?
Kila mwenye macho ameona kitendo walichofanya Simba cha kususia zawadi ya mshindi wa pili na huku mchezaji akipotea zawadi ya mchezaji bora ikiwa inatoka kwa mdhamini yule yuleView attachment 514536 Je ndo kusema mmekubaliana na hali halisi na vipi kuhusu zile anwani za Dhl?
Ilikuwa hakuna jinsi nafasi stahiki ya Simba ni namba 2 tu na si vinginevyo. Hakuna ubingwa wa Dezo Dezo MezaniKila mwenye macho ameona kitendo walichofanya Simba cha kususia zawadi ya mshindi wa pili na huku mchezaji akipotea zawadi ya mchezaji bora ikiwa inatoka kwa mdhamini yule yuleView attachment 514536 Je ndo kusema mmekubaliana na hali halisi na vipi kuhusu zile anwani za Dhl?