Rufiji dam
JF-Expert Member
- Feb 20, 2020
- 4,107
- 9,671
Kila mara kuna vitu ukifanya kwa hila ama kudhulumu utakuja kulipa kwa aina moja ama nyingine. Watanzania hasa wapenzi wa soka hawana imani na uendeshaji wa chombo chetu kinachosimamia mpira wa miguu TFF chini ya Karia. Kitendo cha kuingia udhamini na GSM ni kosa na hakikubaliki.
Kama wanataka kweli maemdeleo ya soka GSM angepewa ligi daraja la kwanza na sio PL. Simba gomeeni kabisa kuweka nembo ya chapa GSM kwenye jezi zenu. Halafu tuone wawashushe daraja. Karia na udhalimu wake naona anafika mwisho.
Kama wanataka kweli maemdeleo ya soka GSM angepewa ligi daraja la kwanza na sio PL. Simba gomeeni kabisa kuweka nembo ya chapa GSM kwenye jezi zenu. Halafu tuone wawashushe daraja. Karia na udhalimu wake naona anafika mwisho.