Simba gomeni kuvaa nembo yenye chapa ya GSM

Simba gomeni kuvaa nembo yenye chapa ya GSM

Rufiji dam

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2020
Posts
4,107
Reaction score
9,671
Kila mara kuna vitu ukifanya kwa hila ama kudhulumu utakuja kulipa kwa aina moja ama nyingine. Watanzania hasa wapenzi wa soka hawana imani na uendeshaji wa chombo chetu kinachosimamia mpira wa miguu TFF chini ya Karia. Kitendo cha kuingia udhamini na GSM ni kosa na hakikubaliki.

Kama wanataka kweli maemdeleo ya soka GSM angepewa ligi daraja la kwanza na sio PL. Simba gomeeni kabisa kuweka nembo ya chapa GSM kwenye jezi zenu. Halafu tuone wawashushe daraja. Karia na udhalimu wake naona anafika mwisho.
 
Simba gomeeni kabisa kuweka nembo ya chapa GSM kwenye jezi zenu
Nembo ndo inacheza mpira?
Hoja yako haina mashiko coz hakuna ushahidi kwamba uchezaji mpira unaeza athiriwa na kuwapo kwa nembo eneo lolote lile la jezi!!
 
Mada ya kijinga kabisa hii. Mambo yaki zamani zamani tu. Mxm
 
Kiukweli Simba wana hoja yenye mashiko

Ilikuleta fair ground ni vyema TFF wange mwambia Gsm iyo chapa yake iwepo ktk mabango uwanjan na sio ktk jezi.

G*m ndio waratibu was mabadiliko ktk klabu ya Yanga, wamewalipa wale wa Spain ili kuandaa draft ya mabadiliko

G*m ndio waliosimamia usajili wa wachezaj ktk clabu ya Yanga kwa misimu 2 na ushehe pamoja na usajili wa benchi la ufundi

G*m ndio wamesimamia usajili wa yule m South Africa kuja Yanga as new CEO

Leo hi G*m anasimama Kama mdhamin mwenza wa ligi lkn pia ndio wanao ratibu uendeshaji wa clabu ya utopolo ....hapa hatukuwa na usawa wa kiushiundani ...in one way or another mdhamin huyu mwenza anaweza aka alter matokeo ya mchezo.

Note pia huyuhuyu ana dhamini baadhi ya vilabu vyingine Kama 3 ivi.

Wapo wanao linganosha udhamin wa vodacom as main league spansor lkn pia aka dhamin namungo + biashara fc, hapa NI tofauti kabisa huyu G*m yy anadhamini Yanga lkn pia ana ratibu na kusimamia uendeshaji wa hi club ...kwa ajili ya kuondoa sintofahamu hapa tifutifu wajitafakari
 
CEO wetu anasema wamegundua mabasi yetu yana plate number zenye rangi za njano, wanafanya mchakato wa kuzibadilisha rangi ziwe nyekundu na nyeupe!
 
Kiukweli Simba wana hoja yenye mashiko

Ilikuleta fair ground ni vyema TFF wange mwambia Gsm iyo chapa yake iwepo ktk mabango uwanjan na sio ktk jezi.

G*m ndio waratibu was mabadiliko ktk klabu ya Yanga, wamewalipa wale wa Spain ili kuandaa draft ya mabadiliko

G*m ndio waliosimamia usajili wa wachezaj ktk clabu ya Yanga kwa misimu 2 na ushehe pamoja na usajili wa benchi la ufundi

G*m ndio wamesimamia usajili wa yule m South Africa kuja Yanga as new CEO

Leo hi G*m anasimama Kama mdhamin mwenza wa ligi lkn pia ndio wanao ratibu uendeshaji wa clabu ya utopolo ....hapa hatukuwa na usawa wa kiushiundani ...in one way or another mdhamin huyu mwenza anaweza aka alter matokeo ya mchezo.

Note pia huyuhuyu ana dhamini baadhi ya vilabu vyingine Kama 3 ivi.

Wapo wanao linganosha udhamin wa vodacom as main league spansor lkn pia aka dhamin namungo + biashara fc, hapa NI tofauti kabisa huyu G*m yy anadhamini Yanga lkn pia ana ratibu na kusimamia uendeshaji wa hi club ...kwa ajili ya kuondoa sintofahamu hapa tifutifu wajitafakari
Haya yote yanahusiana nini na Simba kukatalia kuvaa Nembo ya GSM?
 
Ingependeza na Mo nae amwage fedha hapo TFF ili awe mdhamini mwenza namba tatu. Kisha Yanga nao wavae nembo ya kinywaji cha 'Mo Extra' na logo iwe na rangi nyekundu.
 
Haya yote yanahusiana nini na Simba kukatalia kuvaa Nembo ya GSM?
G*m ana ratibu uendeshaji wa klabu Y ambayo ni klabu shindani na Simba

G*m ameratibu mabadiliko ktk.klabu Y

G*m ameratibu na kusimamia usajili wa wachezaj na benchi la ufundi wa klabu Y ambayo ni mshindani na clabu ya simba.

G*m ameratibu kambi ya klabu Y ambayo ndio washimdani wa klabu ya Simba

Conclusion
G*m.ndani ya klabu Y sio mdhamin tu bali pia ni mwendeshaji how come unadhamini ligi then utegemee ushindani sawa ?

Ukimvaa G*m no sawa umevaa chapa ya klabu Y
 
Kiukweli Simba wana hoja yenye mashiko

Ilikuleta fair ground ni vyema TFF wange mwambia Gsm iyo chapa yake iwepo ktk mabango uwanjan na sio ktk jezi.

G*m ndio waratibu was mabadiliko ktk klabu ya Yanga, wamewalipa wale wa Spain ili kuandaa draft ya mabadiliko

G*m ndio waliosimamia usajili wa wachezaj ktk clabu ya Yanga kwa misimu 2 na ushehe pamoja na usajili wa benchi la ufundi

G*m ndio wamesimamia usajili wa yule m South Africa kuja Yanga as new CEO

Leo hi G*m anasimama Kama mdhamin mwenza wa ligi lkn pia ndio wanao ratibu uendeshaji wa clabu ya utopolo ....hapa hatukuwa na usawa wa kiushiundani ...in one way or another mdhamin huyu mwenza anaweza aka alter matokeo ya mchezo.

Note pia huyuhuyu ana dhamini baadhi ya vilabu vyingine Kama 3 ivi.

Wapo wanao linganosha udhamin wa vodacom as main league spansor lkn pia aka dhamin namungo + biashara fc, hapa NI tofauti kabisa huyu G*m yy anadhamini Yanga lkn pia ana ratibu na kusimamia uendeshaji wa hi club ...kwa ajili ya kuondoa sintofahamu hapa tifutifu wajitafakari
Kwani GSM ndio wanaochezesha mpira uwanjani (marefa) maana tunajua matokeo ni uwanjani acheni porojo
 
G*m ana ratibu uendeshaji wa klabu Y ambayo ni klabu shindani na Simba

G*m ameratibu mabadiliko ktk.klabu Y

G*m ameratibu na kusimamia usajili wa wachezaj na benchi la ufundi wa klabu Y ambayo ni mshindani na clabu ya simba.

G*m ameratibu kambi ya klabu Y ambayo ndio washimdani wa klabu ya Simba

Conclusion
G*m.ndani ya klabu Y sio mdhamin tu bali pia ni mwendeshaji how come unadhamini ligi then utegemee ushindani sawa ?

Ukimvaa G*m no sawa umevaa chapa ya klabu Y
Vip kuhusu AZAM FC na kampuni ya azam?
 
Back
Top Bottom