Mwishokambi
JF-Expert Member
- Nov 23, 2020
- 390
- 1,425
Simba inaelekea kushika nafasi ya 2 msimu huu lkn kiukweli quality ya wachezaji wake iko chini sana, iko chini mno, mechi wanazopoteza huko mikoani kama dhidi ya kagera, mbeya city, biashara mara, azam wenzak yanga wanazifunga killing sana, yanga wakisaidia yatima tu wanapata matokeo, Simba imekosa kabisa ushindani unaotakiwa, wachezaji wenyewe hawana kiwango cha kuchezea Simba, nyoni, Gadiel, Kanoute, bwalya utumbo mtupu, hebu fikiria had geita wanafikia hatua ya kuahidi kuwa wangefungwa na Simba Leo basi wangeomba wageuzwe wanawake, kweli Simba ya kuiahidia namna hiyo, onyango kazi yake kutoa fyongo tu
Nasema Simba kushika nafasi ya 2 imependelewa
Nasema Simba kushika nafasi ya 2 imependelewa