Simba haisajili kiholela, inasajili kwa mpangilio.

Simba haisajili kiholela, inasajili kwa mpangilio.

amadala

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2017
Posts
4,265
Reaction score
12,268
Habari Wadau!
Kama kichwa kinavyojieleza na Mkurugenzi wetu amemaliza, ujumbe kwa wale wanaoona tunachelewa kumaliza usajili wa wachezaji ni hivi,"HATUSAJILI KIHOLELA,TUNASAJILI KWA MPANGILIO"
Uzi tayari
 

Attachments

  • 293263704_453861059592216_4009901578340593915_n.mp4
    3.2 MB
Kwa kauli hii Mugalu na Kagere tutaendelea kuwa nao msimu ujao
 
Habari Wadau!
Kama kichwa kinavyojieleza na Mkurugenzi wetu amemaliza, ujumbe kwa wale wanaoona tunachelewa kumaliza usajili wa wachezaji ni hivi,"HATUSAJILI KIHOLELA,TUNASAJILI KWA MPANGILIO"
Uzi tayari
MAKOLO bana[emoji23]
 
Habari Wadau!
Kama kichwa kinavyojieleza na Mkurugenzi wetu amemaliza, ujumbe kwa wale wanaoona tunachelewa kumaliza usajili wa wachezaji ni hivi,"HATUSAJILI KIHOLELA,TUNASAJILI KWA MPANGILIO"
Uzi tayari
HII KAULI TUTAIPIMA MWISHO WA MSIMU WA 22/23 tutaona mlichosema ni kweli?
 
Habari Wadau!
Kama kichwa kinavyojieleza na Mkurugenzi wetu amemaliza, ujumbe kwa wale wanaoona tunachelewa kumaliza usajili wa wachezaji ni hivi,"HATUSAJILI KIHOLELA,TUNASAJILI KWA MPANGILIO"
Uzi tayari
Tunachoomba atutaki kuja kusikia mara gsm anatembeza bahasha, mara marefa wanahongwa, mara wachezaji wetu wanakamiwa, atutaki kuja kusikia ujinga wa namna iyo kila timu itavuna ilichopanda, uwezi kupanda bangi ukategemea kuvuna mahindi utakuwa ni punguani
 
Za kuambiwa changanya na za kwako
Simba wamemuuza Bwalya wameenda Kumnunua Nasoro Kapama Kagera
Simba ambayo msimu huu safu yake imekuwa butu imeenda kununua mchezaji aliyeshusha timu daraja huko Mbeya,
Timu imekuwa inaokotaokota wachezaji.
Waeleze tu kwa uwazi, hela imekata hamna mipango wala nini
 
Tunachoomba atutaki kuja kusikia mara gsm anatembeza bahasha, mara marefa wanahongwa, mara wachezaji wetu wanakamiwa, atutaki kuja kusikia ujinga wa namna iyo kila timu itavuna ilichopanda, uwezi kupanda bangi ukategemea kuvuna mahindi utakuwa ni punguani
Kabisaa
 
Za kuambiwa changanya na za kwako
Simba wamemuuza Bwalya wameenda Kumnunua Nasoro Kapama Kagera
Simba ambayo msimu huu safu yake imekuwa butu imeenda kununua mchezaji aliyeshusha timu daraja huko Mbeya,
Timu imekuwa inaokotaokota wachezaji.
Waeleze tu kwa uwazi, hela imekata hamna mipango wala nini
Majibu mwisho wa msimu
 
Kumbe Simba wamesajili kapama tuu? Simba hawajasajiri mfungaji bora namba mbili nchini Zambia na Mfungaji bora namba tatu nchini Ghana ? Okrah ana statistics nzuri kuliko hata Aziz ki sema watu wameamua kujichagulia kasehemu kakupigia kelele tuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my SM-G9650 using JamiiForums mobile app
 
Kumbe Simba wamesajili kapama tuu? Simba hawajasajiri mfungaji bora namba mbili nchini Zambia na Mfungaji bora namba tatu nchini Ghana ? Okrah ana statistics nzuri kuliko hata Aziz ki sema watu wameamua kujichagulia kasehemu kakupigia kelele tuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my SM-G9650 using JamiiForums mobile app
Waambie!! Wanaamini CV ya Aziz Ki hakuna anaefikia
 
Back
Top Bottom