Simba hatuna kocha wa makipa kocha wa viungo kwa sasa

bulabo

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2015
Posts
628
Reaction score
780
SIMBA walivyo kaa kimya hatuna kocha wa Viungo, Kocha wa MAkipa je kwa hali hii tutatoboa mwezi oktba kweli tuna game hatari zinakuja mwezi wa KUMI.

Me nawashauri VIONGOZI ZRANE kocha aliyeondokaga arudishwe hata kama yupo timu ya taifa ya maurtania si wavunje mktaba hukoooo
 
Kocha wa viungo hiyo kazi tumwombe mzee onyango atatusaidia. Huku kwenye makipa kwani Try again anafanya kazi gani pale makao makuu si angekuwa anakuja kuokoa jahazi? Mi binafsi nimpongeze Juma mgunda Kwa moyo wake anatusaidia sana kipindi hiki kigumu.
 
SImba kama vile hatupo serious
 
Mtatoboa tu! Yule kocha wenu Juma Mgunda na mwenzake Matola watajazia hayo ma gap.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…