ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 9,091
- 21,087
Sitaongelea kuhusu kubebwa na kushinda kimipango, hilo lipo wazi kila mwenye utima analiona wazi
1. Simba inakuzwa tu, ila wachezaji ni averaged players. Yaani wana hadhi ya kucheza Pamba Jiji au Ken Gold
2. Wachezaji wanakata moto
Fitness ya wachezaji wa Simba ipoc chini mno, yaani nawaza tu Yanga ndo tupate mechi Leo na Simba yenye Ngoma, Awesu, beki Hamza🤣
3 Bado Simba hajacheza na (Yanga)
Kwa hasira tulizinazo tutawapiga mara ya 5 mfululizo na ushindi wa goli za kutosha
4. Mchezo wa bahasha za Mo Kwa marefa Sasa upo dhahiri
5 Coach Fadlu Kwa mbinu zake na sub zake za ovyo, atapigika kama Ngoma ya kitongoji
6. Tumewapumbaza watani wanashinda Kwa bahati, Sasa subiri mzunguko wa pili ndo mtajua
Merry Christmas
Yanga bingwa 🏆
1. Simba inakuzwa tu, ila wachezaji ni averaged players. Yaani wana hadhi ya kucheza Pamba Jiji au Ken Gold
2. Wachezaji wanakata moto
Fitness ya wachezaji wa Simba ipoc chini mno, yaani nawaza tu Yanga ndo tupate mechi Leo na Simba yenye Ngoma, Awesu, beki Hamza🤣
3 Bado Simba hajacheza na (Yanga)
Kwa hasira tulizinazo tutawapiga mara ya 5 mfululizo na ushindi wa goli za kutosha
4. Mchezo wa bahasha za Mo Kwa marefa Sasa upo dhahiri
5 Coach Fadlu Kwa mbinu zake na sub zake za ovyo, atapigika kama Ngoma ya kitongoji
6. Tumewapumbaza watani wanashinda Kwa bahati, Sasa subiri mzunguko wa pili ndo mtajua
Merry Christmas
Yanga bingwa 🏆