KING KIGODA
JF-Expert Member
- Dec 28, 2018
- 3,893
- 3,145
Refa angekuwa fair mpaka sasa kulkuwa na kilio Simba.Singida anawachapa sasa hivi.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kabla hujajiuwa, hakikisha unanipa mualiko wa kuhudhiria mazishi yako na mimi niwe msoma wasifu wa marehemuYanga amemfunga Azam jana na kuingia final, hongereni lakn timu hawana, Yanga kumfunga azam ni kawaida t, ameshamfunga mara ya 5 Leo, kuna watumishi pale sio waadilifu ndio maana yanga wanajiokotea tu, mtalaumu benchi lkn wapo baadhi watumishi wenye mapenzi na yanga na ndio wanaouza ishu, hata wakirudiana tena Leo, azam atafungwa tu.Azam wamewakaribisha jikoni Yanga kwa hiyo ishakula kwao.
Yanga ile ya jana ikutane na winga Onana, winga Micquisone, kati Fabrice Ngoma, muuaji Baleke au Phiri, kudadeki naenda kujizika mwenyewe chumbageni.Njia mnazotumia kupata ushindi Simba walishazipitia kitambo na wanazijua mara 100 yake, hiyo kutoa sadaka kwa yatima cjui kutoa damu sijui kuzika majina ya wachezaji makaburini, mtajua wenyewe
utasema marehemu alizaliwa akaropoka akafa basiKabla hujajiuwa, hakikisha unanipa mualiko wa kuhudhiria mazishi yako na mimi niwe msoma wasifu wa marehemu
Comments reservedYanga amemfunga Azam jana na kuingia final, hongereni lakn timu hawana, Yanga kumfunga azam ni kawaida t, ameshamfunga mara ya 5 Leo, kuna watumishi pale sio waadilifu ndio maana yanga wanajiokotea tu, mtalaumu benchi lkn wapo baadhi watumishi wenye mapenzi na yanga na ndio wanaouza ishu, hata wakirudiana tena Leo, azam atafungwa tu.Azam wamewakaribisha jikoni Yanga kwa hiyo ishakula kwao.
Yanga ile ya jana ikutane na winga Onana, winga Micquisone, kati Fabrice Ngoma, muuaji Baleke au Phiri, kudadeki naenda kujizika mwenyewe chumbageni.Njia mnazotumia kupata ushindi Simba walishazipitia kitambo na wanazijua mara 100 yake, hiyo kutoa sadaka kwa yatima cjui kutoa damu sijui kuzika majina ya wachezaji makaburini, mtajua wenyewe
Yanga amemfunga Azam jana na kuingia final, hongereni lakn timu hawana, Yanga kumfunga azam ni kawaida t, ameshamfunga mara ya 5 Leo, kuna watumishi pale sio waadilifu ndio maana yanga wanajiokotea tu, mtalaumu benchi lkn wapo baadhi watumishi wenye mapenzi na yanga na ndio wanaouza ishu, hata wakirudiana tena Leo, azam atafungwa tu.Azam wamewakaribisha jikoni Yanga kwa hiyo ishakula kwao.
Yanga ile ya jana ikutane na winga Onana, winga Micquisone, kati Fabrice Ngoma, muuaji Baleke au Phiri, kudadeki naenda kujizika mwenyewe chumbageni.Njia mnazotumia kupata ushindi Simba walishazipitia kitambo na wanazijua mara 100 yake, hiyo kutoa sadaka kwa yatima cjui kutoa damu sijui kuzika majina ya wachezaji makaburini, mtajua wenyewe
Hii ndio Simba ya uturuki?[emoji1787]Yanga amemfunga Azam jana na kuingia final, hongereni lakn timu hawana, Yanga kumfunga azam ni kawaida t, ameshamfunga mara ya 5 Leo, kuna watumishi pale sio waadilifu ndio maana yanga wanajiokotea tu, mtalaumu benchi lkn wapo baadhi watumishi wenye mapenzi na yanga na ndio wanaouza ishu, hata wakirudiana tena Leo, azam atafungwa tu.Azam wamewakaribisha jikoni Yanga kwa hiyo ishakula kwao.
Yanga ile ya jana ikutane na winga Onana, winga Micquisone, kati Fabrice Ngoma, muuaji Baleke au Phiri, kudadeki naenda kujizika mwenyewe chumbageni.Njia mnazotumia kupata ushindi Simba walishazipitia kitambo na wanazijua mara 100 yake, hiyo kutoa sadaka kwa yatima cjui kutoa damu sijui kuzika majina ya wachezaji makaburini, mtajua wenyewe
Jumapili siyo mbali. Ila nakushauri acha ujuha. This is just a game.Yanga amemfunga Azam jana na kuingia final, hongereni lakn timu hawana, Yanga kumfunga azam ni kawaida t, ameshamfunga mara ya 5 Leo, kuna watumishi pale sio waadilifu ndio maana yanga wanajiokotea tu, mtalaumu benchi lkn wapo baadhi watumishi wenye mapenzi na yanga na ndio wanaouza ishu, hata wakirudiana tena Leo, azam atafungwa tu.Azam wamewakaribisha jikoni Yanga kwa hiyo ishakula kwao.
Yanga ile ya jana ikutane na winga Onana, winga Micquisone, kati Fabrice Ngoma, muuaji Baleke au Phiri, kudadeki naenda kujizika mwenyewe chumbageni.Njia mnazotumia kupata ushindi Simba walishazipitia kitambo na wanazijua mara 100 yake, hiyo kutoa sadaka kwa yatima cjui kutoa damu sijui kuzika majina ya wachezaji makaburini, mtajua wenyewe