Leonel Ateba Mbinda
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 644
- 2,695
Aisee hili kosi la Simba limebakisha jambo moja t, kuwa na kamati nzuri ya ufundi ambayo itahakikisha ftina na figisu za mwanadamu hazifanikiwi, golini mcameroon, kulia kapombe kushoto Zimbwe, nne inonga, dala Che Malone, sita Fabrice ngoma, winga micquisone winga onana, nane chama, tisa Baleke au Chilunda kumi Phiri au Saido.
Huko benchi mama yangu.
Huko benchi mama yangu.