Simba hii vilio basi, Wababe wa Ulaya kutoka Moscow nusura walale na viatu

utopolo og

JF-Expert Member
Joined
Nov 29, 2022
Posts
575
Reaction score
1,575
Klabu kubwa hapa afrika Simba mnyama mkali leo imetoshana nguvu na vigogo wa soka barani ulaya CSKA Moscow kwa kufungana magoli 2-2 katika mchezo wa kimataifa wa kirafiki uliopigwa huko Dubai.

Magoli yote mawili ya Mnyama mkali Simba yametiwa kimiani na Mshambuliaji mkali Habib kyombo (Halland wa bongo)

Baada ya kumaliza mechi zake za kimataifa za kirafiki, timu ya Simba itaanza safari ya kurudi nchini iyo kesho jumatatu kujiandaa na mchezo wa ligi ya Nbc dhidi ya mbeya city unaotarajia kupigwa jumatano ya tarehe 18/Jan
 
Sijui unaripoti kutokea Dubenga au uko wapi nikupe Wine kutoka Dodoma hapa....
 
Naona mmekubali mziki wa vijana. Nasikia bado kidogo Kyombo apige hat trick.
 
Wine sio mbaya unakunywa kama ya kudijest tuu msosi after kula..kidogoo
Any way tumepokea ujumbe
May ntakuja Dodoma kwa jambo la kitaifa ntakunywa huo mvinyo ww utunze tu maana naskia unavozidi kuzeeka ndio utamu wake unaongezeka[emoji1][emoji1][emoji1]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…