Majok majok
JF-Expert Member
- Aug 3, 2023
- 783
- 2,057
Moja ya vitu ambavyo Simba na viongozi wake wanaferi ni eneo la usajili, sasa hivi wanaongelea kusajili lakini wakati huo huo hawana majibu kama mgunda wanampa timu ama lah!
Kama Mgunda anapewa timu basi wafanye usajili kupitia ripoti ya Mgunda, na kama wanatafuta kocha mpya wanatakiwa wampate kocha kwanza ndio atoe mapendekezo yake kulingana na mfumo wake anaopenda kutumia na aina ya wachezaji anaowataka kuwatumia ili wafit kwenye mfumo wake!
Huwezi kutumia ripoti ya kocha mwingine kumsajilia wachezaji kocha mwingine maana ujui huyo kocha mpya atahitaji wachezaji wa aina gani ili wafiti kwenye mifumo yake!
Kwa maana hiyo Simba kama anataka kufanya mambo kiuweledi anatakiwa apate kocha mpya kwanza na yeye ndio atoe mapendekezo ya usajili, vinginevyo yatakuwa yanajirudia yale yale ya kocha kuwapiga benchi wachezaji waliosajiliwa kwa gharama kubwa kwa kuwa atawaambia hawafit kwenye mifumo yake!
Kama Mgunda anapewa timu haina shida ripoti yake itumike lakini kama anaondoshwa iyo report haina maana!
Ni ushauri tu tunawapa mkipenda mchukue mkipenda mnaacha!
Kama Mgunda anapewa timu basi wafanye usajili kupitia ripoti ya Mgunda, na kama wanatafuta kocha mpya wanatakiwa wampate kocha kwanza ndio atoe mapendekezo yake kulingana na mfumo wake anaopenda kutumia na aina ya wachezaji anaowataka kuwatumia ili wafit kwenye mfumo wake!
Huwezi kutumia ripoti ya kocha mwingine kumsajilia wachezaji kocha mwingine maana ujui huyo kocha mpya atahitaji wachezaji wa aina gani ili wafiti kwenye mifumo yake!
Kwa maana hiyo Simba kama anataka kufanya mambo kiuweledi anatakiwa apate kocha mpya kwanza na yeye ndio atoe mapendekezo ya usajili, vinginevyo yatakuwa yanajirudia yale yale ya kocha kuwapiga benchi wachezaji waliosajiliwa kwa gharama kubwa kwa kuwa atawaambia hawafit kwenye mifumo yake!
Kama Mgunda anapewa timu haina shida ripoti yake itumike lakini kama anaondoshwa iyo report haina maana!
Ni ushauri tu tunawapa mkipenda mchukue mkipenda mnaacha!