Freesociety
JF-Expert Member
- Jul 19, 2017
- 984
- 926
Ukicheza wewe itakuwa hivyo.Sijui lakini!! kwa kundi hili simba njia ni nyeupe kuingia robo fainali..kwa sababu sioni timu ya kuifunga simba hapa kwa mkapa ila naona simba inaweza kulazimisha draw hata mbili ugenini..