heehehehehehehheheh hii imenifanya nicheke nilipita mtaa fulani nikiwa nimebeba mzigo mtoto mmoja akaniuliza nimebeba nini rafiki nilikuwa naye alikuwa anautani na wale watoto akawajibu limbwata
Baada kama ya wiki nikapita na mzigo ule ule mkubwa kiasi yule mtot baada ya kuniona akamwambia bibi yake leo kaka ............ kabeba limbwata likubwaaa utoto bwana kaazi kweli kweli
Ulishaona mtu ambaye kashindikana ( mke au mume) lakini akafika mahali akawa mpoleeee! Mnadhani inawezekana vipi? hakuna mzizi wala hirizi hapo!
Kazi kwenu!
Simba kupakatwa lol! nimekipenda sana hichi kichwa cha habari. Hili linawezekana kabisa tena bila mizizi wala miti shamba. Kuna kitu kinaitwa nyama ya ulimi. Ukiweza kumpa umpendaye nyama ya ulimi basi hata kama ana sifa ya Simba unaweza kabisa kumpakata na watu wakabaki wanashangaa na kuhitimisha kwamba yule si bure kishalishwa vya kulishwa maana amekuwa ***** kabisa kwa yule mwanamke/mwanaume kumbe hakuna lolote bali ni nyama ya ulimi tu.