Ile ilipofungwa tano bila au nne moja ilikuwajeKuna Yanga mbovu kupita ile iliyokuwa inatembeza bakuli? Mliifunga ngapi?
Basi ngoja mlie sasa....tabora wanakuja soonIle ilipofungwa tano bila au nne moja ilikuwaje
Tutazika aiseeNawasubiria kwa hamu cute...yani hata kama sio goli 9 basi kuwafumua ni lazima
Bila maturubai msiba utaisha kimya kimya..Tutazika aisee
🤣🤣Maji wataita mmaBila maturubai msiba utaisha kimya kimya..
Atapigwa Tu YangaMtakapokutana tena round ya pili ligi kuu hakikisheni mnaipiga Yanga hii DHAIFU YA WAZEE GOLI HATA 9 ili ashike adabu.
Simba sasahivi ni wa moto sana na wachezaji ni vijana wenye kasi. Yanga imesheheni WASTAAFU ambao wameshajichokea.
Tumieni nafasi hii ambayo tayari matobo yanayovuja yameshaonekana. ALIYE UNLOCK PASSWORD YA UTOPOLO AJENGEWE SANAMU
Mkuu ndio pakumuuliza mleta mada hapa ile iliyochoka vile mliishia tano, hii iliyochoka saivi yenye kina Pacome ndani mtaipiga saba? Au zakutosha ngapi? Kama 5 hizo hazihitaji muwe mmechoka ndo mpigwe mwwenyewe unaelewa.Ile ilipofungwa tano bila au nne moja ilikuwaje
Watu kama ninyi ndiyo mtaji wa akina kamwe,raundi ya pili tutakataana wananchi wenzangu,nilisema mapema kibuli cha injinia cha kuwakacha walio msaidia hatuta fanta vizuri kimataifa watu walibisha nawaambia mapema hata ligi KUU hatuta chukua kama hajabadilika pia hata nafasi ya pili itakuwa mtihani mzito kwetu.Kuna Yanga mbovu kupita ile iliyokuwa inatembeza bakuli? Mliifunga ngapi?