SAYVILLE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2010
- 7,895
- 12,975
Kuna kitu nimekiona msimu huu katika performance ya mchezaji mmoja mmoja wa Simba kimenifikirisha sana.
Katika michezo miwili ya msimu huu ambayo naikumbuka mpaka sasa Simba wakivaa jezi nyeupe, huu mchezo wa leo dhidi ya Coastal Union na ule wa Costantine kule Algeria, performance ya mchezaji mmoja mmoja ilikuwa nzuri sana. Touch za wachezaji zilikuwa nzuri na mimi ndiyo kitu cha kwanza nakiangalia nikifanya tathmini ya performance ya mchezaji.
Inawezekana kabisa rangi nyekundu ya Simba imefanyiwa yale mambo ya kiutamaduni na inabidi kwanza isafishwe. Ukitaka kujua rangi nyeupe bado ni "takatifu" angalia jinsi upande wa pili wanavyoikumbatia.
Kuna mtu siku moja aliwahi kuliongelea hili suala, nimejaribu kutafuta ule uzi wake sijaupata.
Wasiwasi ni akili.
Katika michezo miwili ya msimu huu ambayo naikumbuka mpaka sasa Simba wakivaa jezi nyeupe, huu mchezo wa leo dhidi ya Coastal Union na ule wa Costantine kule Algeria, performance ya mchezaji mmoja mmoja ilikuwa nzuri sana. Touch za wachezaji zilikuwa nzuri na mimi ndiyo kitu cha kwanza nakiangalia nikifanya tathmini ya performance ya mchezaji.
Inawezekana kabisa rangi nyekundu ya Simba imefanyiwa yale mambo ya kiutamaduni na inabidi kwanza isafishwe. Ukitaka kujua rangi nyeupe bado ni "takatifu" angalia jinsi upande wa pili wanavyoikumbatia.
Kuna mtu siku moja aliwahi kuliongelea hili suala, nimejaribu kutafuta ule uzi wake sijaupata.
Wasiwasi ni akili.