Leonel Ateba Mbinda
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 644
- 2,695
Nikajua simba naye ni mchezaji anayetolewa kwa mkopo.Hawa mawinga wana uwezo mkubwa sana, nimepata taarifa kuwa wanatafutiwa sehemu pale Ihefu wakacheze kwa mkopo, hawa sio wachezaji wa kutoa kwa mkopo, hawa ni package kabisa, Simba chukueni hawa viumbe mtakuja kunishukuru
Mlipoambiwa kule wenye akili ni wawili haikuwa bahati mbaya. Huyu ndio aina ya watu wanaoishabikia Yanga, uwezo wao kiakili ni mdoooogo. Yule Eyamel alisema bado wako kwenye stage ya Usokwe na Nyani na kazi wanayoiweza ni kupayuka Ujinga ujinga tuu kama huyu.Nikajua simba naye ni mchezaji anayetolewa kwa mkopo.
Yani bado mnataka kuendelea kujaza mawinga kwenye timu yenu?Hawa mawinga wana uwezo mkubwa sana, nimepata taarifa kuwa wanatafutiwa sehemu pale Ihefu wakacheze kwa mkopo, hawa sio wachezaji wa kutoa kwa mkopo, hawa ni package kabisa, Simba chukueni hawa viumbe mtakuja kunishukuru
Yaani kwenye Mapinduzi mawinga wanapiga krosi kama zote halafu hakuna mshambuliaji wa kati wa kufunga.Yani bado mnataka kuendelea kujaza mawinga kwenye timu yenu?
Mashabiki na viongozi wa Simba, wote mnafanana akili.
Mimi sio shabiki wa mpira ila mwandishi amekosea kuandika kichwa cha habari.Mlipoambiwa kule wenye akili ni wawili haikuwa bahati mbaya. Huyu ndio aina ya watu wanaoishabikia Yanga, uwezo wao kiakili ni mdoooogo. Yule Eyamel alisema bado wako kwenye stage ya Usokwe na Nyani na kazi wanayoiweza ni kupayuka Ujinga ujinga tuu kama huyu.
Duuh...! Kunywa maji utulie.Mlipoambiwa kule wenye akili ni wawili haikuwa bahati mbaya. Huyu ndio aina ya watu wanaoishabikia Yanga, uwezo wao kiakili ni mdoooogo. Yule Eyamel alisema bado wako kwenye stage ya Usokwe na Nyani na kazi wanayoiweza ni kupayuka Ujinga ujinga tuu kama huyu.
Huyo jamaa ulimquit unapoteza muda tu hata ya kumjibu ulichokiandika hapo ndio ajigeuzie yeye. Ni mbumbumbu huyoMimi sio shabiki wa mpira ila mwandishi amekosea kuandika kichwa cha habari.
Ameandika hivi: "Simba, Idd Nado na Ayoub Lyanga".
Hio alama ya koma inamaana ipi kwenye kichwa cha habari.
Nikajua hili nilikuwa naliona Mimi tu dogo huku igwachanya.Yaani kwenye Mapinduzi mawinga wanapiga krosi kama zote halafu hakuna mshambuliaji wa kati wa kufunga.