Kweli nimeamini kwamba Simba sc ni timu kubwa kwa sasa hapa Africa. Imagine timu inashinda mechi home and away, lakini kinachozungumzwa sio matokeo inayopata tena bali performance ya timu. Wakati zamani timu ikipata droo au ikifungwa goli chache ugenini mjadala utakuwa mkubwa.