Juice world
JF-Expert Member
- Jun 7, 2022
- 1,982
- 2,706
Mimi ni mpenzi wa mpira nilivyoiona hii timu ya simba haiwezi kuwa bingwa ligi kuu miaka 10 mfulilizo endapo IKICHUKUA UBINGWA nipigwe ban ya maisha humu JamiiForums.
Nina uhakika Kwa ninachokiongea haitokuja kutokea simba ikabeba ubingwa maana ubingwa umeshakua Mali ya yanga miaka 10 mfululizo timu ya simba haijielewei mpaka mashabiki hawajielewi sababu Moja wanakurupuka kusema viongozi timu ikifungwa tu wakishinda wanasahau itoshe kusema ni mbumbumbu.
Soma Pia: Yanga akifungwa na Simba nipigwe ban ya wiki
Nina uhakika Kwa ninachokiongea haitokuja kutokea simba ikabeba ubingwa maana ubingwa umeshakua Mali ya yanga miaka 10 mfululizo timu ya simba haijielewei mpaka mashabiki hawajielewi sababu Moja wanakurupuka kusema viongozi timu ikifungwa tu wakishinda wanasahau itoshe kusema ni mbumbumbu.
Soma Pia: Yanga akifungwa na Simba nipigwe ban ya wiki