Simba ikifungiwa itaujaza uwanja wa Uhuru na shangwe zitasikika

Simba ikifungiwa itaujaza uwanja wa Uhuru na shangwe zitasikika

SAYVILLE

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2010
Posts
7,895
Reaction score
12,975
Kuna watu waliokatia tamaa maisha, wikendi hii wakavalisha wenzao Sanda ili kuichafua image ya Simba iliyojengwa kwa muda mrefu kwa machozi, jasho na damu.

Sasa hivi hao watu wanapiga kelele kutaka Simba ifungiwe kuingiza mashabiki, wanadhani CAF ni shangazi zao. Watu wanachukulia mambo kirahisi sana.

Anyway, jueni tu kuwa ombi lenu likitimia, tutaujaza Uwanja wa Uhuru tena kwa kiingilio, tutaweka screen kubwa na wachezaji watasikia shangwe zetu zote. Watakaoangalia kwenye TV watasikia kelele za mashabiki kama kawa. Sasa wewe niambie, Simba itaathirika vipi?

ZIADA 1: Waarabu kwenye mpira ni watu wa hovyo sana. Ni wazi walikuwa wana nia ya kuchochea vurugu ili wapate cha kulilia baada ya kukandwa. Kuna video moja staff wa CS Sfaxien alimpiga ngumi ya kisogo mmoja wa walinzi wa uwanja aliyekuwa anatuliza mashabiki, halafu akakausha kama siyo yeye.

ZIADA 2: Tanzania tuwekeze kwenye mashindano ya shirikisho. Timu nyingi huku tunazimudu na hili kombe tunaweza kulichukua sana tu. Hili kombe litazipa timu zetu nguvu za kiuchumi za kupambana na wababe zaidi. Timu kama Azam na hata hizi Yanga na Simba zikiongeza userious, tunaweza kutawala katika mashindano haya.

ZIADA 3: Waarabu wanataka mpira wa Afrika watawale wao tu. Ona wanavyojitoa CHAN. Huku Shirikisho ndiyo kabisa wamejiwekea utawala wao ila ndiyo wanapiga pesa za CAF hivyo. Kule kwingine Al Ahly wamejimilikisha kombe. Imagine pesa inayoingia kila mwaka kwa zawadi tu. Sasa waza exposure na mapato ya Super Cup, Club World Cup na mashindano mengine wanayopata fursa za kushiriki kwa kuwa mabingwa. Inabidi tuanze kufikiri mambo kwa ukubwa na upana wake.
 
Kuna watu waliokatia tamaa maisha, wikendi hii wakavalishwa Sanda ili kuichafua image ya Simba iliyojengwa kwa muda mrefu kwa machozi, jasho na damu.

Sasa hivi hao watu wanapiga kelele kutaka Simba ifungiwe kuingiza mashabiki, wanadhani CAF ni shangazi zao. Watu wanachukulia mambo kirahisi sana.

Anyway, jueni tu kuwa ombi lenu likitimia, tutaujaza Uwanja wa Uhuru tena kwa kiingilio, tutaweka screen kubwa na wachezaji watasikia shangwe zetu zote. Watakaoangalia kwenye TV watasikia kelele za mashabiki kama kawa. Sasa wewe niambie, Simba itaathirika vipi?

ZIADA 1: Waarabu kwenye mpira ni watu wa hovyo sana. Ni wazi walikuwa wana nia ya kuchochea vurugu ili wapate cha kulilia baada ya kukandwa. Kuna video moja staff wa CsXfaxien alimpiga ngumi ya kisogo mmoja wa walinzi wa uwanja aliyekuwa anatuliza mashabiki, halafu akakausha kama siyo yeye.

ZIADA 2: Tanzania tuwekeze kwenye mashindano ya shirikisho. Timu nyingi huku tunazimudu na hili kombe tunaweza kulichukua sana tu. Hili kombe litazipa timu zetu nguvu za kiuchumi za kupambana na wababe zaidi. Timu kama Azam na hata hizi Yanga na Simba zikiongeza userious, tunaweza kutawala katika mashindano haya.

ZIADA 3: Waarabu wanataka mpira wa Afrika watawale wao tu. Ona wanavyojitoa CHAN. Huku Shirikisho ndiyo kabisa wamejiwekea utawala wao ila ndiyo wanapiga pesa za CAF hivyo. Kule kwingine Al Ahly wamejimilikisha kombe. Imagine pesa inayoingia kila mwaka kwa zawadi tu. Sasa waza exposure na mapato ya Super Cup, Club World Cup na mashindano mengine wanayopata fursa za kushiriki kwa kuwa mabingwa. Inabidi tuanze kufikiri mambo kwa ukubwa na upana wake.
Rage ajengewe sanamu.
 
Kuna watu waliokatia tamaa maisha, wikendi hii wakavalishwa Sanda ili kuichafua image ya Simba iliyojengwa kwa muda mrefu kwa machozi, jasho na damu.

Sasa hivi hao watu wanapiga kelele kutaka Simba ifungiwe kuingiza mashabiki, wanadhani CAF ni shangazi zao. Watu wanachukulia mambo kirahisi sana.

Anyway, jueni tu kuwa ombi lenu likitimia, tutaujaza Uwanja wa Uhuru tena kwa kiingilio, tutaweka screen kubwa na wachezaji watasikia shangwe zetu zote. Watakaoangalia kwenye TV watasikia kelele za mashabiki kama kawa. Sasa wewe niambie, Simba itaathirika vipi?

ZIADA 1: Waarabu kwenye mpira ni watu wa hovyo sana. Ni wazi walikuwa wana nia ya kuchochea vurugu ili wapate cha kulilia baada ya kukandwa. Kuna video moja staff wa CS Sfaxien alimpiga ngumi ya kisogo mmoja wa walinzi wa uwanja aliyekuwa anatuliza mashabiki, halafu akakausha kama siyo yeye.

ZIADA 2: Tanzania tuwekeze kwenye mashindano ya shirikisho. Timu nyingi huku tunazimudu na hili kombe tunaweza kulichukua sana tu. Hili kombe litazipa timu zetu nguvu za kiuchumi za kupambana na wababe zaidi. Timu kama Azam na hata hizi Yanga na Simba zikiongeza userious, tunaweza kutawala katika mashindano haya.

ZIADA 3: Waarabu wanataka mpira wa Afrika watawale wao tu. Ona wanavyojitoa CHAN. Huku Shirikisho ndiyo kabisa wamejiwekea utawala wao ila ndiyo wanapiga pesa za CAF hivyo. Kule kwingine Al Ahly wamejimilikisha kombe. Imagine pesa inayoingia kila mwaka kwa zawadi tu. Sasa waza exposure na mapato ya Super Cup, Club World Cup na mashindano mengine wanayopata fursa za kushiriki kwa kuwa mabingwa. Inabidi tuanze kufikiri mambo kwa ukubwa na upana wake.
RAGE AENZIWE
 
Kuna watu waliokatia tamaa maisha, wikendi hii wakavalisha wenzao Sanda ili kuichafua image ya Simba iliyojengwa kwa muda mrefu kwa machozi, jasho na damu.

Sasa hivi hao watu wanapiga kelele kutaka Simba ifungiwe kuingiza mashabiki, wanadhani CAF ni shangazi zao. Watu wanachukulia mambo kirahisi sana.

Anyway, jueni tu kuwa ombi lenu likitimia, tutaujaza Uwanja wa Uhuru tena kwa kiingilio, tutaweka screen kubwa na wachezaji watasikia shangwe zetu zote. Watakaoangalia kwenye TV watasikia kelele za mashabiki kama kawa. Sasa wewe niambie, Simba itaathirika vipi?

ZIADA 1: Waarabu kwenye mpira ni watu wa hovyo sana. Ni wazi walikuwa wana nia ya kuchochea vurugu ili wapate cha kulilia baada ya kukandwa. Kuna video moja staff wa CS Sfaxien alimpiga ngumi ya kisogo mmoja wa walinzi wa uwanja aliyekuwa anatuliza mashabiki, halafu akakausha kama siyo yeye.

ZIADA 2: Tanzania tuwekeze kwenye mashindano ya shirikisho. Timu nyingi huku tunazimudu na hili kombe tunaweza kulichukua sana tu. Hili kombe litazipa timu zetu nguvu za kiuchumi za kupambana na wababe zaidi. Timu kama Azam na hata hizi Yanga na Simba zikiongeza userious, tunaweza kutawala katika mashindano haya.

ZIADA 3: Waarabu wanataka mpira wa Afrika watawale wao tu. Ona wanavyojitoa CHAN. Huku Shirikisho ndiyo kabisa wamejiwekea utawala wao ila ndiyo wanapiga pesa za CAF hivyo. Kule kwingine Al Ahly wamejimilikisha kombe. Imagine pesa inayoingia kila mwaka kwa zawadi tu. Sasa waza exposure na mapato ya Super Cup, Club World Cup na mashindano mengine wanayopata fursa za kushiriki kwa kuwa mabingwa. Inabidi tuanze kufikiri mambo kwa ukubwa na upana wake.
Mnafanya mashabiki wote wa Simba waonekane Mbumbumbu Kwa ujuha wa wachache.
 
Mbona mnapata strss wan simba wenzangu? Hni hiviii
Simba haitafungiwaa
Simba haitalipa faini
Simba is there to stay..
Hamna haja ya kuanzisha nyuzi za hii saga...
 
Kuna watu waliokatia tamaa maisha, wikendi hii wakavalisha wenzao Sanda ili kuichafua image ya Simba iliyojengwa kwa muda mrefu kwa machozi, jasho na damu.

Sasa hivi hao watu wanapiga kelele kutaka Simba ifungiwe kuingiza mashabiki, wanadhani CAF ni shangazi zao. Watu wanachukulia mambo kirahisi sana.

Anyway, jueni tu kuwa ombi lenu likitimia, tutaujaza Uwanja wa Uhuru tena kwa kiingilio, tutaweka screen kubwa na wachezaji watasikia shangwe zetu zote. Watakaoangalia kwenye TV watasikia kelele za mashabiki kama kawa. Sasa wewe niambie, Simba itaathirika vipi?

ZIADA 1: Waarabu kwenye mpira ni watu wa hovyo sana. Ni wazi walikuwa wana nia ya kuchochea vurugu ili wapate cha kulilia baada ya kukandwa. Kuna video moja staff wa CS Sfaxien alimpiga ngumi ya kisogo mmoja wa walinzi wa uwanja aliyekuwa anatuliza mashabiki, halafu akakausha kama siyo yeye.

ZIADA 2: Tanzania tuwekeze kwenye mashindano ya shirikisho. Timu nyingi huku tunazimudu na hili kombe tunaweza kulichukua sana tu. Hili kombe litazipa timu zetu nguvu za kiuchumi za kupambana na wababe zaidi. Timu kama Azam na hata hizi Yanga na Simba zikiongeza userious, tunaweza kutawala katika mashindano haya.

ZIADA 3: Waarabu wanataka mpira wa Afrika watawale wao tu. Ona wanavyojitoa CHAN. Huku Shirikisho ndiyo kabisa wamejiwekea utawala wao ila ndiyo wanapiga pesa za CAF hivyo. Kule kwingine Al Ahly wamejimilikisha kombe. Imagine pesa inayoingia kila mwaka kwa zawadi tu. Sasa waza exposure na mapato ya Super Cup, Club World Cup na mashindano mengine wanayopata fursa za kushiriki kwa kuwa mabingwa. Inabidi tuanze kufikiri mambo kwa ukubwa na upana wake.
Badala ya kalaani kitendo kilichofanyika wewe unaandika udunduka.
 
Badala ya kalaani kitendo kilichofanyika wewe unaandika udunduka.
Hauwezi kwenda nchi ya kigeni ukafungwa halafu ukaanza kumshambulia refa bila kuleta taharuki kwa mashabiki.

Kihistoria mpira una element ya uhuni ndani yake na ukileta uhuni utafanyiwa uhuni. Mpirani siyo ibadani.
 
Wanao ona kwamba waarabu walifanya vzr kuanzisha fujo na kuona kwamba wao wana haki ya kufanya vurugu wasijibiwe...wapeleke barua ya malalamiko yao CAF wakiwatetea waarabu zao...
 
Hauwezi kwenda nchi ya kigeni ukafungwa halafu ukaanza kumshambulia refa bila kuleta taharuki kwa mashabiki.

Kihistoria mpira una element ya uhuni ndani yake na ukileta uhuni utafanyiwa uhuni. Mpirani siyo ibadani.
Yani mautopolo yanajifanya ma saints...yani kwmba wao wangerushiwa viti wangechutama tuu..msyuuuu
 
Yani mautopolo yanajifanya ma saints...yani kwmba wao wangerushiwa viti wangechutama tuu..msyuuuu
Hawa viumbe likija suala la Simba au Utopolo yao huwa akili zinawaruka, hawawezi kufikiri vizuri.

Mwangalie yule mchezaji wa SC Sfaxie aliyeenda kuongea na Ngoma aliyekuwa anatuliza mashabiki, yule mchezaji ameshika kipande cha mbao ya matangazo aliyoivunja kwa sababu gani hasa wakati vurugu za uwanjani walikuwa wanafanya wao hadi wachezaji wa Simba na staff wakawa wanambembeleza aiachie. Ni kama walitaka vurugu ziwe mbaya zaidi.
 
Hawa viumbe likija suala la Simba au Utopolo yao huwa akili zinawaruka, hawawezi kufikiri vizuri.

Mwangalie yule mchezaji wa SC Sfaxie aliyeenda kuongea na Ngoma aliyekuwa anatuliza mashabiki, yule mchezaji ameshika kipande cha mbao ya matangazo aliyoivunja kwa sababu gani hasa wakati vurugu za uwanjani walikuwa wanafanya wao hadi wachezaji wa Simba na staff wakawa wanambembeleza aiachie. Ni kama walitaka vurugu ziwe mbaya zaidi.
Walitamani na wachezaji wa simba wauwawe...hahha yani mwaka wa ubaya ubaya..
 
Hauwezi kwenda nchi ya kigeni ukafungwa halafu ukaanza kumshambulia refa bila kuleta taharuki kwa mashabiki.

Kihistoria mpira una element ya uhuni ndani yake na ukileta uhuni utafanyiwa uhuni. Mpirani siyo ibadani.
Kwa nini sasa mling'oa viti? Na hii siyo mara ya kwanza mnafanya uharibifu kwa kung'oa viti vya uwanja wa Taifa!
 
Hizi timu zimewamaliza watu akili kabisa!! Sasa nini hiki🙆‍♂️🙆‍♂️
 
Back
Top Bottom