Simba ikishinda leo mimi ni mnyama

Makampuni ya kikamaria yamempa nafssi kubwa sana simba kushinda kuliko mwenyeji.
 
Makolo hizi mechi mbili za nje zote anachapika
 
Hahahaha Kisa Umeona Hawa Jamaa Wanaenda zufungwa Ndio Maana Umekuja Wadhihaki Mapema Bila Wao Kujua.
 
Vipi sasa , tukuite nusu dog au dog [emoji240] kamili?

Mtoa mada hatimaye amefanikiwa kusimama kwenye kiapo chake, na kukwepa kuaibika iwapo mambo yangeenda tofauti. Ingawa mmemtukana na kumkejeli, timu yenu haikushinda!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…