Simba imeachana lini na Monalisa kama Afisa Habari?

aka2030

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2013
Posts
2,657
Reaction score
3,679
Nauliza, huyu dada alikuwa Msemaji wa Simba Queens ila amepotea ghafla, nafasi yake naona Ahmed pia anaifanya, wameachana naye lini? Shida nini? Mbona mapema kabla mkataba kuisha?

 
Simba inaongoza kwa Janja janja! Inahitajika uwe mvumilivu sana kufanya kazi na hao Mudi family.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…