Ni msemaji wa MBUMBUMBU unategemea ataongea nn [emoji16]Kwa nilivyoona speech yake kwenye press ya jana ni asilimia 100 kuwa AHAMED ALLY ni MWEHU kabisa maana anaongea vitu vya kipumbavu kabisa
Nina mashaka na elimu yake huenda hana elimu ni chawa mmoja mzuri ni type ya watu wanaweza kuwa potential kwa CCM
Aina ya watu walaghai nmemshusha sana heshima jana
fuatilia kipande anamsifia mgeni rasimi kocha utaona kabisa ni empty skullLete video labda kuna mapya ambayo hatuyajui ameyaongea msemaji...maana sidhani kama kuna kipya kama huwa unaangalia intavyuu zake..sidhani kama kuna la ajabu jipyaa kutoka kwny mfumo wake wa uwasilishaji na kuwapa moyo mashabiki hata pale anapoona kuna uzito..so leta video bila video ni porojo...
NakaziaπNina mashaka na elimu yake huenda hana elimu ni chawa mmoja mzuri ni type ya watu wanaweza kuwa potential kwa CCM
Ile clip nilicheka sanaKila nikimuona nakumbuka ile video jamaa anamuita Ahmed kuwa ni sawa na wale watumbuizaji wa meli ya titanic, wenzao wapo kwenye tabu lakini yeye anawapa burudani tuu [emoji23]
Ile clip kiboko πIle clip nilicheka sana