Kwa nilivyoona speech yake kwenye press ya jana ni asilimia 100 kuwa Ahmed Ally ni mwehu kabisa maana anaongea vitu vya kipumbavu kabisa.
Nina mashaka na elimu yake huenda hana elimu, ni chawa mmoja mzuri, ni type ya watu wanaoweza kuwa potential kwa CCM.
Aina ya watu walaghai, nimemshusha sana heshima jana.