mpyonko
JF-Expert Member
- Nov 7, 2016
- 353
- 389
Simba imeona iepuke aibu na fedheha baada ya kukataa ombi la mechi ya kirafiki na timu ya Africa kusini iliyowashindilia 7-O.
Simba imedai inaogopa kucheza kwa madai inaweza sababisha majeraha kwa wachezaji inayowategemea kwasabb wanahofia mechi ya ngao ya hisani dhidi ya mabigwa Mara tatu mfurulizo timu ya Yanga.
Simba imedai inaogopa kucheza kwa madai inaweza sababisha majeraha kwa wachezaji inayowategemea kwasabb wanahofia mechi ya ngao ya hisani dhidi ya mabigwa Mara tatu mfurulizo timu ya Yanga.