Simba imekataa kurudiana na timu iliyowafunga 7-0

mpyonko

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2016
Posts
353
Reaction score
389
Simba imeona iepuke aibu na fedheha baada ya kukataa ombi la mechi ya kirafiki na timu ya Africa kusini iliyowashindilia 7-O.
Simba imedai inaogopa kucheza kwa madai inaweza sababisha majeraha kwa wachezaji inayowategemea kwasabb wanahofia mechi ya ngao ya hisani dhidi ya mabigwa Mara tatu mfurulizo timu ya Yanga.
 
Bora wamefanya maamuzi Hayo kuliko kulitia aibu taifa kwakichapo kingine
 
Mshalipa deni la mtibwa baada ya kuiba miwa yao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…