Kamchape FCNi timu gani hiyo isiyo na jina?
Vv
Unajua zamani tulikwa tunashindana na Mikia uwanjani, sasa tangu mhamie mezani inabidi tuwafate nje ya boxDuh, ushabiki unawapelekesha.
Vv
Gazeti lako ni 2015
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Bora wamefanya maamuzi Hayo kuliko kulitia aibu taifa kwakichapo kingine
Ni zile apps za ku create gazeti, hawajui hata kudanganyaGazeti lako ni 2015
Wezi wa miwa nyieeee!
Pogba wa tz nchi imekushinda!
Mshalipa deni la mtibwa baada ya kuiba miwa yaoSimba imeona iepuke aibu na fedheha baada ya kukataa ombi la mechi ya kirafiki na timu ya Africa kusini iliyowashindilia 7-O.
Simba imedai inaogopa kucheza kwa madai inaweza sababisha majeraha kwa wachezaji inayowategemea kwasabb wanahofia mechi ya ngao ya hisani dhidi ya mabigwa Mara tatu mrulizo timu ya Yanga.