Betterhalf
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 2,882
- 2,560
Teh Teh Teh nimecheka sana...eti " mke mdogo"Eti penalty imewaokoa!!!mbona mna vuta mdomo sana kama mke mdogo.basi tulifungwa 2 kwa moja na mwadui nimesha itoa penalty sasa.
Ukweli mchunguMkuu sijaweka u simba wala u yanga nmeweka team zote ambazo ziko juu kwenye msimamo wa lig kama una mahaba yako na yanga bakia nayo tu huko huko
Kwanini na nye msiunde kikosi cha bil1.3 nani kawazuiaKuna fact gani na nyie mna kikosi kipana cha bilioni 1.3. Hakuna timu inawafikia kati ya hizo big 5 zilizocheza na Mwadui.
We mkaka una maakili nakupenda hivi umewowa jaman niwe hata mkeo wa piliAzam - Mwadui - Draw
Yanga - Mwadui Draw
Mwadui - Singida - Mwadui won
Mwadui - Mtibwa - Mwadui won
Mwadui - Simba - Draw
Sometimes tuwe tunaipongeza mwadui kwa kupata haya matokeo from big 5 teams za kwenye league yetu sio kukaa kusema hv au vile
Mmmh Shunie...taratibu.We mkaka una maakili nakupenda hivi umewowa jaman niwe hata mkeo wa pili
Vipi mkuu tena au unataka kuniwowa weweMmmh Shunie...taratibu.
I second youAzam - Mwadui - Draw
Yanga - Mwadui Draw
Mwadui - Singida - Mwadui won
Mwadui - Mtibwa - Mwadui won
Mwadui - Simba - Draw
Sometimes tuwe tunaipongeza mwadui kwa kupata haya matokeo from big 5 teams za kwenye league yetu sio kukaa kusema hv au vile
Taratibu Shunie...pana watu wengi hapa.Vipi mkuu tena au unataka kuniwowa wewe
Kwani hao watu wengi hawajui mambo ya kuwowanaTaratibu Shunie...pana watu wengi hapa.
Yanapendeza faraghani...tehKwani hao watu wengi hawajui mambo ya kuwowana
I third youI second you
Fumbeni macho hamtoona watu sawa...Kwani hao watu wengi hawajui mambo ya kuwowana
Na hapo yanga kadro nyumbanAzam - Mwadui - Draw
Yanga - Mwadui Draw
Mwadui - Singida - Mwadui won
Mwadui - Mtibwa - Mwadui won
Mwadui - Simba - Draw
Sometimes tuwe tunaipongeza mwadui kwa kupata haya matokeo from big 5 teams za kwenye league yetu sio kukaa kusema hv au vile
Mwenye nazo aliswekwa ndani na kutoka bila kosa. Sisi wapenzi wa Yanga tunafahamu vema pale tulikojikwaa, haya matokeo ya Yanga tunayoyapata sasa ni ya kule tulikoangukia tu baada ya kujikwaa.Kwanini na nye msiunde kikosi cha bil1.3 nani kawazuia
Kuna fact gani na nyie mna kikosi kipana cha bilioni 1.3. Hakuna timu inawafikia kati ya hizo big 5 zilizocheza na Mwadui.
Acha wivu wa kike!Kuna fact gani na nyie mna kikosi kipana cha bilioni 1.3. Hakuna timu inawafikia kati ya hizo big 5 zilizocheza na Mwadui.