babu onyango
JF-Expert Member
- Jan 12, 2023
- 378
- 984
Absolutely [emoji106]Kimsingi ni vibonde wawili wamekutana leo
Kimsingi ni vibonde wawili wamekutana leo
Baada ya mechi ndio unaongeza hayaHizi timu sijui Caf wanaziokotea wapi, Yaani ile basic football tu hawajui.
Kifupi Simba imekutana na timu dhaifuu sana, Nadhani ni Dhaifu kuliko hata Zalan ya Sudan.
Simba angekuwa kundi lingine lolote lile angeburuza mkia maana hakuna timu mbovu mbovu kama hawa Makirikiri.
Leo rukeni rukeni ila Mwisho wenu ni hapo robo tu...
Hizi timu zote mbili zikizocheza leo km zingekutana na Yanga hii zingeoga zaidi ya 10+Vyura leo mnanena kwa lugha mpaka raha... kila mmoja wenu ananena kwa sauti yake, nimehesabu mpaka sasa mna sauti ya kwanza mpaka ya kumi..
Na bado mpaka zifikie sauti ya 17..
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Ndo hapo sasa, wachezaji haiwez hata kutuliza mpiraWewe uliona wapi kipa ana kitambi!?
Mibenuko.mnapiga kelele sasa, sijui vitobo vimeanza kuwawasha, njoo nikukune swahiba.Hili kundi lilikua na tia maji tia maji wote
Hamna timu humu mkuuHili kundi lilikua na tia maji tia maji wote
wenye robo yao wanaingia kibabeeeeHizi timu sijui Caf wanaziokotea wapi, Yaani ile basic football tu hawajui.
Kifupi Simba imekutana na timu dhaifuu sana, Nadhani ni Dhaifu kuliko hata Zalan ya Sudan.
Simba angekuwa kundi lingine lolote lile angeburuza mkia maana hakuna timu mbovu mbovu kama hawa Makirikiri.
Leo rukeni rukeni ila Mwisho wenu ni hapo robo tu...
Ramli chonganishi zinapofeli[emoji23][emoji23][emoji23]Hizi timu sijui Caf wanaziokotea wapi, Yaani ile basic football tu hawajui.
Kifupi Simba imekutana na timu dhaifuu sana, Nadhani ni Dhaifu kuliko hata Zalan ya Sudan.
Simba angekuwa kundi lingine lolote lile angeburuza mkia maana hakuna timu mbovu mbovu kama hawa Makirikiri.
Leo rukeni rukeni ila Mwisho wenu ni hapo robo tu...
Siku makundi yanapangwa jamaa niliokuwa nao baada ya kuona kundi la Kolouzdad walifurahi wamepangiwa vibondeHamna timu humu mkuu
afu kumbe timu ilianzishwa 2014...Hizi timu sijui Caf wanaziokotea wapi, Yaani ile basic football tu hawajui.
Kifupi Simba imekutana na timu dhaifuu sana, Nadhani ni Dhaifu kuliko hata Zalan ya Sudan.
Simba angekuwa kundi lingine lolote lile angeburuza mkia maana hakuna timu mbovu mbovu kama hawa Makirikiri.
Leo rukeni rukeni ila Mwisho wenu ni hapo robo tu...