demigod
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 8,292
- 15,250
Fear factor ninile hali ya kuogopwa na timu mbali mbali mara ukutanapo.
Hii factor huzisaidia sana timu kubwa kuweza kupata matokea mazuri ikiwa hata imecheza vibaya sana dhidi ya timu za wastani.
Kitendo cha Simba SC kupoteza mechi 2 kwa idadi ya jumla ya mabao 10 ni kiashiria kikuu kuwa si hata Klabu za nje ya nchi (ambazo zimepoteza hali ya kuogopa klabu hii kutoka Bongo) bali pia hata Klabu za ndani za LigiKUU pia zimenufauka pakubwa kwa takwimu hii
Ninachokiona mbele yangu ni kuwa Baada ya Simba kuanza kushambulia viporo vyao vya ligiKuu, tutaanza kushuhudia sare nyingi sana na hata kupoteza mechi dhidi ya timu ambazo hatutozitarajia.
Hii hali itaeababishwa na kupoteza kwa fear factor yake kwa hata vilabu vya ndani ya nchi. Na patakuwepo na baadhi ya vilabu ndani ya nchi vitakavyodhani kuwa "Kuwafunga Simba kwa bao 3 au 2 ni jambo linalowezekana". Hii itakuwa changamoto kubwa sana kwa Simba.
Itapelekea hata Wanajangwani kutawazwa Mabingwa wa LIGIKUU.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii factor huzisaidia sana timu kubwa kuweza kupata matokea mazuri ikiwa hata imecheza vibaya sana dhidi ya timu za wastani.
Kitendo cha Simba SC kupoteza mechi 2 kwa idadi ya jumla ya mabao 10 ni kiashiria kikuu kuwa si hata Klabu za nje ya nchi (ambazo zimepoteza hali ya kuogopa klabu hii kutoka Bongo) bali pia hata Klabu za ndani za LigiKUU pia zimenufauka pakubwa kwa takwimu hii
Ninachokiona mbele yangu ni kuwa Baada ya Simba kuanza kushambulia viporo vyao vya ligiKuu, tutaanza kushuhudia sare nyingi sana na hata kupoteza mechi dhidi ya timu ambazo hatutozitarajia.
Hii hali itaeababishwa na kupoteza kwa fear factor yake kwa hata vilabu vya ndani ya nchi. Na patakuwepo na baadhi ya vilabu ndani ya nchi vitakavyodhani kuwa "Kuwafunga Simba kwa bao 3 au 2 ni jambo linalowezekana". Hii itakuwa changamoto kubwa sana kwa Simba.
Itapelekea hata Wanajangwani kutawazwa Mabingwa wa LIGIKUU.
Sent using Jamii Forums mobile app