themagnificient
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 1,033
- 3,720
mzee zimbweHawa ndio wazee tunaowategemea kuchukua uningwa na kuishinda yanga, Angalia pale mzee Ntibazonkza, Mzee Chama,Mzee Bocco Mzee Mzamiru, Mzee kapombe maaana kapombe mm nna miaka 31 kipindi nasoma yupo simba sijui yeyeye ana miaka mingapi now, shabalala mwenyewe ni mzeee kakomaa ndio maana anaonekana mtoto
Inshort Simba inatakiwa izingatie sana Umri
View attachment 2808912
Hahahahah sasa hivi mnatukanana wenyewe kwa wenyewe.