Simba ina wachezaji wazee balaa

themagnificient

JF-Expert Member
Joined
Dec 13, 2016
Posts
1,033
Reaction score
3,720
Hawa ndio wazee tunaowategemea kuchukua uningwa na kuishinda yanga, Angalia pale mzee Ntibazonkza, Mzee Chama,Mzee Bocco Mzee Mzamiru, Mzee kapombe maaana kapombe mm nna miaka 31 kipindi nasoma yupo simba sijui yeyeye ana miaka mingapi now, shabalala mwenyewe ni mzeee kakomaa ndio maana anaonekana mtoto.

Inshort Simba inatakiwa izingatie sana Umri.

 
mzee zimbwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…