Simba inahitaji viongozi wapya wenye maono mapya!

Simba inahitaji viongozi wapya wenye maono mapya!

MTAZAMO

JF-Expert Member
Joined
Feb 8, 2011
Posts
19,675
Reaction score
33,583
Wanalunyasi,

Hali ya timu haihitaji maelezo mengi, ni tatizo lililojikita zaidi kwenye management kuliko level ya technical team na wachezaji. Sasa nawashauri na najua mtasoma hapa.

1) Wanachama waamke sasa, hawa viongozi hawana uwezo wa kufanya mabadiliko yoyote na hata sasa hawajui nini kinatokea. Wanachama waite extra ordinary meeting haraka sana kuweka uongozi mpya.

2) Kama management itabikia hii nawahakikishia Simba iliyojengwa kwa miaka mingi inaenda kubomoka. Daktari hajigangi, hawa viongozi wamepalilia tatizo muda mrefu na sasa tunavuna matokeo.

3) Simba inahitaji mabadiliko makubwa ndani ya siku zisizozidi mbili na kocha mkuu apewe timu ndani ya siku hizo tena akiwa na watu wake wote.

4) Barbara arudishwe haraka na CEO apewe madaraka yote kikamilifu na bodi wabakie na majukumu ya msingi kama reputable organisation zinavyoendeshwa. Kwasasa Imani Kajula anaonekana zaidi kwenye mambo ya biashara lakini mambo ya timu ni kama hausiki nayo sana.

5) Kocha apewe madaraka yote na asiingiliwe kabisa. Apimwe kwa KPI na akipendekeza wachezaji asikilizwe. Management imsaidie pale anapotoa maelekezo ya kinidhamu.

6) Mechi ijayo ni mechi ngumu kuliko hii ya Asec. Kwasasa Simba watoe akili za kufanya biashara kwanza warudishe imani kwa washabiki. Mechi mbili zijazo kusiwe na kiingilio kabisa kama kuwataka radhi mashabiki.

Mwisho, viongozi mliopo mmeangusha sana wapenzi na wanachama. Toka kipigo cha Yanga hii mechi ya tatu timu inafanya vibaya mmeshindwa kuja mbele ya wanachama kuwaomba radhi na kusema mikakati yenu.

Anayeangaika hadharani na timu ni Ahmed Ally huku nyie mkisubiri timu ishinde ndio mjitokeze kunanga waliokuwa wanawazodoa. Kwasababu bado tunawaheshimu iteni press haraka kutuliza wanachama. Mko very slow kwenye maamuzi.

Mashabiki na wanachama wa Simba, ikifika jumatano uongozi haujafanya lolote kimabadiliko ( uzuri mabadiliko ya msingi ni vitu vya wazi) mfahamu tutakuwa kwenye kipindi cha giza hadi wanachama wawatimue hawa viongozi na bahati mbaya huyu kocha mpya tutaenda kuchafua CV yake. Asante
 
Nilishsema, viongozi waliopo pale Simba ni mik*nd*
 
Rotation ni njia mojawapo ya kupandisha viwango vya wachezaji.
Hii kitu simba haipo toka uchebe mpk objective.
Damu changa zipo nying afrika sema zinataka maandalizi mazuri, rotation, management na kocha mzuri.
Alikuwepo banda, sakho etc lkn bado hamkujua kuwatumia ili walete majibu na kukata kiu ya timu.

Tatizo ni kubwa na hariishi leo... tujipange kwa msimu ujao
 
Rotation ni njia mojawapo ya kupandisha viwango vya wachezaji.
Hii kitu simba haipo toka uchebe mpk objective.
Damu changa zipo nying afrika sema zinataka maandalizi mazuri, rotation, management na kocha mzuri.
Alikuwepo banda, sakho etc lkn bado hamkujua kuwatumia ili walete majibu na kukata kiu ya timu.

Tatizo ni kubwa na hariishi leo... tujipange kwa msimu ujao
Tujipange na hawa hawa akina Mangungu?
Hawa jamaa ni wahuni na wameweza kuhonga machawa na viongozi wa matawi ya simba Dar wawe upande wao,ili waendelee kugawana mapato ya timu.
 
Rotation ni njia mojawapo ya kupandisha viwango vya wachezaji.
Hii kitu simba haipo toka uchebe mpk objective.
Damu changa zipo nying afrika sema zinataka maandalizi mazuri, rotation, management na kocha mzuri.
Alikuwepo banda, sakho etc lkn bado hamkujua kuwatumia ili walete majibu na kukata kiu ya timu.

Tatizo ni kubwa na hariishi leo... tujipange kwa msimu ujao
Uchebe ndiye kocha aliyeongoza kufanya rotation na viwango vya wachezaji vilikuwa havipishani na ndiye aliyewapa nafasi wachezaji kchipukizi Kama Rashid Juma
 
Tatizo la Simba ni katiba, mkutano uitishwe wafanye marekebisho ya katiba. Anayefanya maamuzi kakaa pembeni lawama zinaenda kwa mwingine. Babra hakuna cha ajabu alichofanya, alikuwa akibebwa na uwepo wa marehemu Hanspope.
 
Hivi vikao na wachezaji ni waste of time. Management ndio tatizo na hata kinachoendelea vikao hadi usiku ni dalili za Management kufeli.

Siku zote wanaishi vipi na wachezaji? Bodi kuhangaika na vikao kwanza CEO na timu yake walitimiza wajibu wao mambo ya utawala? Bodi mbona kama iko front kama hakuna kabisa uongozi?
 
Hivi vikao na wachezaji ni waste of time. Management ndio tatizo na hata kinachoendelea vikao hadi usiku ni dalili za Management kufeli.

Siku zote wanaishi vipi na wachezaji? Bodi kuhangaika na vikao kwanza CEO na timu yake walitimiza wajibu wao mambo ya utawala? Bodi mbona kama iko front kama hakuna kabisa uongozi?
Unauliza maswali ya msingi sana. Ki ukweli Simba haina management ni jina tu. CEO kazi yake kufungua magroup ya whatsapp. Simba ina mbwembwe nyingi ufanisi sifuri, eti kamati ya nidhamu inayoongozwa na inspector wa polisi mstaafu
 
Unauliza maswali ya msingi sana. Ki ukweli Simba haina management ni jina tu. CEO kazi yake kufungua magroup ya whatsapp. Simba ina mbwembwe nyingi ufanisi sifuri, eti kamati ya nidhamu inayoongozwa na inspector wa polisi mstaafu
Huwa nikiwasomaga mashabiki wa simba wa humu JF ,wanavyojionaga na akili ,halafu na haya yanayoendelea ,nabaki kucheka tu
 
Wanalunyasi,

Hali ya timu haihitaji maelezo mengi, ni tatizo lililojikita zaidi kwenye management kuliko level ya technical team na wachezaji. Sasa nawashauri na najua mtasoma hapa.

1) Wanachama waamke sasa, hawa viongozi hawana uwezo wa kufanya mabadiliko yoyote na hata sasa hawajui nini kinatokea. Wanachama waite extra ordinary meeting haraka sana kuweka uongozi mpya.

2) Kama management itabikia hii nawahakikishia Simba iliyojengwa kwa miaka mingi inaenda kubomoka. Daktari hajigangi, hawa viongozi wamepalilia tatizo muda mrefu na sasa tunavuna matokeo.

3) Simba inahitaji mabadiliko makubwa ndani ya siku zisizozidi mbili na kocha mkuu apewe timu ndani ya siku hizo tena akiwa na watu wake wote.

4) Barbara arudishwe haraka na CEO apewe madaraka yote kikamilifu na bodi wabakie na majukumu ya msingi kama reputable organisation zinavyoendeshwa. Kwasasa Imani Kajula anaonekana zaidi kwenye mambo ya biashara lakini mambo ya timu ni kama hausiki nayo sana.

5) Kocha apewe madaraka yote na asiingiliwe kabisa. Apimwe kwa KPI na akipendekeza wachezaji asikilizwe. Management imsaidie pale anapotoa maelekezo ya kinidhamu.

6) Mechi ijayo ni mechi ngumu kuliko hii ya Asec. Kwasasa Simba watoe akili za kufanya biashara kwanza warudishe imani kwa washabiki. Mechi mbili zijazo kusiwe na kiingilio kabisa kama kuwataka radhi mashabiki.

Mwisho, viongozi mliopo mmeangusha sana wapenzi na wanachama. Toka kipigo cha Yanga hii mechi ya tatu timu inafanya vibaya mmeshindwa kuja mbele ya wanachama kuwaomba radhi na kusema mikakati yenu.

Anayeangaika hadharani na timu ni Ahmed Ally huku nyie mkisubiri timu ishinde ndio mjitokeze kunanga waliokuwa wanawazodoa. Kwasababu bado tunawaheshimu iteni press haraka kutuliza wanachama. Mko very slow kwenye maamuzi.

Mashabiki na wanachama wa Simba, ikifika jumatano uongozi haujafanya lolote kimabadiliko ( uzuri mabadiliko ya msingi ni vitu vya wazi) mfahamu tutakuwa kwenye kipindi cha giza hadi wanachama wawatimue hawa viongozi na bahati mbaya huyu kocha mpya tutaenda kuchafua CV yake. Asante
Tatizo la Simba ni mfumo mbovu wa kiutendaji unaompa mtu mmoja au kikundi kidogo cha watu nguvu na uwezo wa kuwarubuni na kuwaburuza wengine bila yeye au wao kuweza kuwajibishwa. Ndiyo kosa ambalo hata nchi hii ililifanya hadi leo tunaenda kwa kusuasua.

Ningeweza kusema dawa ni kuajiri watu professional watakaoahidiwa maokoto ya kutosha ambao watakuwa na kazi moja tu ya kutengeneza mfumo sahihi kuanzia juu mpaka chini na wakimaliza tu hiyo kazi wakae pembeni. Ila najua mfumo huo ukirudi kupitishwa utavurugwa tu.
 
Hivi vikao na wachezaji ni waste of time. Management ndio tatizo na hata kinachoendelea vikao hadi usiku ni dalili za Management kufeli.

Siku zote wanaishi vipi na wachezaji? Bodi kuhangaika na vikao kwanza CEO na timu yake walitimiza wajibu wao mambo ya utawala? Bodi mbona kama iko front kama hakuna kabisa uongozi?
Kila siku nasema Structure ya Simba inachekesha, waajili watu waache Ubahili wa Kijinga.
Viongozi wa Juu ni wengi kuliko watendaji.
Simba ina Board members 10+....
Baraza la washauri 20+.....
Working Staff ni less than 10......
Asa hii ni structure ya wapi? Ni kama Nafasi wanapeana ili kuzibwna Midomo.

Board inagombana na CEO, wanafanya hujuma wanamuweka CEO kasuku. Mwenyekiti wa board anasafiri kusajili kama yeye ndio Scout hivi. Asa mtu unajiuliza hii ni Timu ya namna gani?
Kuna harufu ya kuhujumiana, waliopewa cheo kwenye baraza la Ushauri ndio wahujumu Wenyewe.
Na nusa kuna Genge linataka MO aondoke, na wengi wao watakuwa wanatoka kwenye baraza la Ushauri.
Na inaonekana amewashtukia kawavuta Karibu zaidi kuwa washauri ili wakose hoja baadae.
Nachoamini ni kuwa Muhindi sio Mjinga, hawajafika walipo kwa kuwa wajinga. Lazima hela zote walizotoa kwa Condition.
Kama sio team itaingia kwenye deni kubwa au mgogoro wa kufikishana mahakamani.
Hizi ni fikra zangu, sina ushahidi nazo.
Ila najua zina Ukweli.
 
Wanalunyasi,

Hali ya timu haihitaji maelezo mengi, ni tatizo lililojikita zaidi kwenye management kuliko level ya technical team na wachezaji. Sasa nawashauri na najua mtasoma hapa.

1) Wanachama waamke sasa, hawa viongozi hawana uwezo wa kufanya mabadiliko yoyote na hata sasa hawajui nini kinatokea. Wanachama waite extra ordinary meeting haraka sana kuweka uongozi mpya.

2) Kama management itabikia hii nawahakikishia Simba iliyojengwa kwa miaka mingi inaenda kubomoka. Daktari hajigangi, hawa viongozi wamepalilia tatizo muda mrefu na sasa tunavuna matokeo.

3) Simba inahitaji mabadiliko makubwa ndani ya siku zisizozidi mbili na kocha mkuu apewe timu ndani ya siku hizo tena akiwa na watu wake wote.

4) Barbara arudishwe haraka na CEO apewe madaraka yote kikamilifu na bodi wabakie na majukumu ya msingi kama reputable organisation zinavyoendeshwa. Kwasasa Imani Kajula anaonekana zaidi kwenye mambo ya biashara lakini mambo ya timu ni kama hausiki nayo sana.

5) Kocha apewe madaraka yote na asiingiliwe kabisa. Apimwe kwa KPI na akipendekeza wachezaji asikilizwe. Management imsaidie pale anapotoa maelekezo ya kinidhamu.

6) Mechi ijayo ni mechi ngumu kuliko hii ya Asec. Kwasasa Simba watoe akili za kufanya biashara kwanza warudishe imani kwa washabiki. Mechi mbili zijazo kusiwe na kiingilio kabisa kama kuwataka radhi mashabiki.

Mwisho, viongozi mliopo mmeangusha sana wapenzi na wanachama. Toka kipigo cha Yanga hii mechi ya tatu timu inafanya vibaya mmeshindwa kuja mbele ya wanachama kuwaomba radhi na kusema mikakati yenu.

Anayeangaika hadharani na timu ni Ahmed Ally huku nyie mkisubiri timu ishinde ndio mjitokeze kunanga waliokuwa wanawazodoa. Kwasababu bado tunawaheshimu iteni press haraka kutuliza wanachama. Mko very slow kwenye maamuzi.

Mashabiki na wanachama wa Simba, ikifika jumatano uongozi haujafanya lolote kimabadiliko ( uzuri mabadiliko ya msingi ni vitu vya wazi) mfahamu tutakuwa kwenye kipindi cha giza hadi wanachama wawatimue hawa viongozi na bahati mbaya huyu kocha mpya tutaenda kuchafua CV yake. Asante
Aliiyewadanganya babra hayuko makolo au aliondolewa kwa majungu ni nani 😃,babra alipumzika sbb alikua mjamzito na toka ajifungue babra anashiriki shughuli za makolo kikamilifu,corona iliwabeba na kujiona mko level 1 na al ahly,sasa hv kila timu imejipanga
 
Sasa nini wafanye ,maana hata hao vijana wenye maarifa, wamekua chawa
Kazi ipooo. Shida na matatizo vimeingiliana sana na ukichukulia mkono wa adui pia upo ndani, tusitegemee siyo leo wala kesho. Matumaini yangu ni madogo sana suluhisho la kudumu kupatikana.

Hali inaweza kutulia kwa muda ila tatizo halitakuja kuondoka kamwe labda wanachama watimue kila mtu tuanze moja au timu nzima ikabidhiwe kwa mtu mmoja tuachane na mambo ya 51/49.
 
Kazi ipooo. Shida na matatizo vimeingiliana sana na ukichukulia mkono wa adui pia upo ndani, tusitegemee siyo leo wala kesho. Matumaini yangu ni madogo sana suluhisho la kudumu kupatikana.

Hali inaweza kutulia kwa muda ila tatizo halitakuja kuondoka kamwe labda wanachama watimue kila mtu tuanze moja au timu nzima ikabidhiwe kwa mtu mmoja tuachane na mambo ya 51/49.
Ili tatizo liishe warudi ktk mkutano mkuu, warekebishe yale yote waliokosea, kisha waanze upya, ingawa katiba ya sasa inamlinda Tajiri na mambo yake

Kuna walio nje ya mfumo /uongozi ambao nao walishawahi kuwa viongozi hawa Tajiri hawataki kbs , na alihakikisha hawashindi uchaguzi na hawaingii ktk bodi ..
 
Aliiyewadanganya babra hayuko makolo au aliondolewa kwa majungu ni nani 😃,babra alipumzika sbb alikua mjamzito na toka ajifungue babra anashiriki shughuli za makolo kikamilifu,corona iliwabeba na kujiona mko level 1 na al ahly,sasa hv kila timu imejipanga
Mwaka jana kulikuwa na Korona Pia?
 
Back
Top Bottom