Hili ni kweli kabisa. Hakuna management paleee ndiyo maana Rais wa Heshima anaweza kubadili bei za tiketi. Siasa zimekuwa nyingi.Kila siku nasema Structure ya Simba inachekesha, waajili watu waache Ubahili wa Kijinga.
Viongozi wa Juu ni wengi kuliko watendaji.
Simba ina Board members 10+....
Baraza la washauri 20+.....
Working Staff ni less than 10......
Wazo la mfumo waliotaka kutumia ni zuri sana kama lingetekelezeka shida ni kwamba hakuna uwazi katika uwajibikaji na mipaka ya kazi na pia mifumo ya uchaguzi wa viongozi inayoruhusu rushwa kutembea inavuruga kila kitu.Kama sio team itaingia kwenye deni kubwa au mgogoro wa kufikishana mahakamani.
Katiba kumlinda tajiri hilo haliepukiki, hata nchi kila siku tunabadili vifungu vya sheria kuwalinda wawekezaji bila hivyo hakuna mtu atakuja kuweka pesa zake.Ili tatizo liishe warudi ktk mkutano mkuu, warekebishe yale yote waliokosea, kisha waanze upya, ingawa katiba ya sasa inamlinda Tajiri na mambo yake
Kuna walio nje ya mfumo /uongozi ambao nao walishawahi kuwa viongozi hawa Tajiri hawataki kbs , na alihakikisha hawashindi uchaguzi na hawaingii ktk bodi ..
Hilo la kwanza halikwepeki sawaKatiba kumlinda tajiri hilo haliepukiki, hata nchi kila siku tunabadili vifungu vya sheria kuwalinda wawekezaji bila hivyo hakuna mtu atakuja kuweka pesa zake.
Hiyo vita ya tajiri na hao viongozi haiwezi kuisha kirahisi mpaka pale ama tajiri apewe mali yote mazima ili aendeshe timu anavyotaka yeye au aachane na kuingilia masuala ya upande wa pili adili na kile ambacho katiba imempa na wote tunajua tajiri hayupo ok kuwa kwenye nafasi hiyo.
Warudi kwa wanachama ila kila upande ukubali kupoteza kitu ambacho ingetamani kukipataHilo la kwanza halikwepeki sawa
Hili la pili unadhani linatekelezeka ? au kutekelezeka kwake ni mpk watu /mashabiki waumie kwa presha ndio litekelezeke ? Mm sioni muafaka labda warudi Mkutano Mkuu
Why tajiri anaingilia mambo ya Upande wa Pili? Hata ungekuwa wewe usingekubali hela yako iwe Mikononi mwa Kina Kaburu na Aveva.Katiba kumlinda tajiri hilo haliepukiki, hata nchi kila siku tunabadili sheria kuwalinda wawekezaji bila hivyo hakuna mtu atakuja kuweka pesa zake.
Hiyo vita ya tajiri na hao viongozi haiwezi kuisha kirahisi mpaka pale ama tajiri apewe mali yote mazima ili aendeshe timu anavyotaka yeye au aachane na kuingilia masuala ya upande wa pili adili na kile ambacho katiba imempa na wote tunajua tajiri hayupo ok kuwa kwenye nafasi hiyo.
Na mimi na hili ndilo litaokoa clubWarudi kwa wanachama ila kila upande ukubali kupoteza kitu ambacho ingetamani kukipata
Mwaka jana mlifanya nini cha ajabu?Mwaka jana kulikuwa na Korona Pia?
Miaka ya Korona walifanya nini cha Ajabu?Mwaka jana mlifanya nini cha ajabu?
Ni mapendekezo mazuri kwa mustakabalili wa 5imba yetu, lakini je tajiri atakubali yote hayo mpaka hayo ya kumnyang'anya uhuru yeye?Wanalunyasi,
Hali ya timu haihitaji maelezo mengi, ni tatizo lililojikita zaidi kwenye management kuliko level ya technical team na wachezaji. Sasa nawashauri na najua mtasoma hapa.
1) Wanachama waamke sasa, hawa viongozi hawana uwezo wa kufanya mabadiliko yoyote na hata sasa hawajui nini kinatokea. Wanachama waite extra ordinary meeting haraka sana kuweka uongozi mpya.
2) Kama management itabikia hii nawahakikishia Simba iliyojengwa kwa miaka mingi inaenda kubomoka. Daktari hajigangi, hawa viongozi wamepalilia tatizo muda mrefu na sasa tunavuna matokeo.
3) Simba inahitaji mabadiliko makubwa ndani ya siku zisizozidi mbili na kocha mkuu apewe timu ndani ya siku hizo tena akiwa na watu wake wote.
4) Barbara arudishwe haraka na CEO apewe madaraka yote kikamilifu na bodi wabakie na majukumu ya msingi kama reputable organisation zinavyoendeshwa. Kwasasa Imani Kajula anaonekana zaidi kwenye mambo ya biashara lakini mambo ya timu ni kama hausiki nayo sana.
5) Kocha apewe madaraka yote na asiingiliwe kabisa. Apimwe kwa KPI na akipendekeza wachezaji asikilizwe. Management imsaidie pale anapotoa maelekezo ya kinidhamu.
6) Mechi ijayo ni mechi ngumu kuliko hii ya Asec. Kwasasa Simba watoe akili za kufanya biashara kwanza warudishe imani kwa washabiki. Mechi mbili zijazo kusiwe na kiingilio kabisa kama kuwataka radhi mashabiki.
Mwisho, viongozi mliopo mmeangusha sana wapenzi na wanachama. Toka kipigo cha Yanga hii mechi ya tatu timu inafanya vibaya mmeshindwa kuja mbele ya wanachama kuwaomba radhi na kusema mikakati yenu.
Anayeangaika hadharani na timu ni Ahmed Ally huku nyie mkisubiri timu ishinde ndio mjitokeze kunanga waliokuwa wanawazodoa. Kwasababu bado tunawaheshimu iteni press haraka kutuliza wanachama. Mko very slow kwenye maamuzi.
Mashabiki na wanachama wa Simba, ikifika jumatano uongozi haujafanya lolote kimabadiliko ( uzuri mabadiliko ya msingi ni vitu vya wazi) mfahamu tutakuwa kwenye kipindi cha giza hadi wanachama wawatimue hawa viongozi na bahati mbaya huyu kocha mpya tutaenda kuchafua CV yake. Asante
Walitumia udhafu ule kupata points za caf na kuwaweka pale walipo sasa,kwa sasa ni ngumu sababu timu nyingi zimejipanga so ili wafikie mafanikio kama yale inabidi wajipange hasaMiaka ya Korona walifanya nini cha Ajabu?
Sababu level waliyofika ndiyo ile ile.
Nikisema wewe ni mjinga nakosea?Walitumia udhafu ule kupata points za caf na kuwaweka pale walipo sasa,kwa sasa ni ngumu sababu timu nyingi zimejipanga so ili wafikie mafanikio kama yale inabidi wajipange hasa
Unaufahamu mpira angalia Kennedy+Mwenda wamecheza vzr mno kuliko wanaoanza,nilijua anamtoa Baleke na Che malone ili Ngoma arudi nyuma na kumuingiza phiri na Chama hilii kosa walili fanya hata Game ya yanga,play all 3 kanute,mzamiru na Ngoma in 4-3-3 hata lile moja wangelilindaRotation ni njia mojawapo ya kupandisha viwango vya wachezaji.
Hii kitu simba haipo toka uchebe mpk objective.
Damu changa zipo nying afrika sema zinataka maandalizi mazuri, rotation, management na kocha mzuri.
Alikuwepo banda, sakho etc lkn bado hamkujua kuwatumia ili walete majibu na kukata kiu ya timu.
Tatizo ni kubwa na hariishi leo... tujipange kwa msimu ujao
Hakika aliewaita utopwinyo apewe maua yakeNikisema wewe ni mjinga nakosea?
Msimu Simba anakufa tano tano kulikuwa na Corona?
Mbona alifika Robo?
Msimu uliopita kulikuwa na Corona? Point zilimfikishaje robo msimu uliopita ? Na alianzia hatua ya awali?
Unaweza elezea hili?
Wewe ndio mjinga,endelea kukariri ukija kushtuka Yanga kishabeba nbc pl back to back miaka 10 mfululizoNikisema wewe ni mjinga nakosea?
Msimu Simba anakufa tano tano kulikuwa na Corona?
Mbona alifika Robo?
Msimu uliopita kulikuwa na Corona? Point zilimfikishaje robo msimu uliopita ? Na alianzia hatua ya awali?
Unaweza elezea hili?
Hichi ulichoandika kinahusiana nini Na hoja yako ya Corona?Wewe ndio mjinga,endelea kukariri ukija kushtuka Yanga kishabeba nbc pl back to back miaka 10 mfululizo
Pamoja na kuwaheshimu ASEC, lakini Simba haikuhitaji kucheza mpira wa kujilinda kiviiile. Ile mechi kuna watu wakiwemo baadhi ya wachezaji walitaka Simba iipoteze.Unaufahamu mpira angalia Kennedy+Mwenda wamecheza vzr mno kuliko wanaoanza,nilijua anamtoa Baleke na Che malone ili Ngoma arudi nyuma na kumuingiza phiri na Chama hilii kosa walili fanya hata Game ya yanga,play all 3 kanute,mzamiru na Ngoma in 4-3-3 hata lile moja wangelilinda
Nafikiri anawaza zaidi biashara kuliko management ya team yenyewe. Uto sio rahisi kutokea shida hadi bodi ikimbizane maana wana manage issues zao on daily basis na viongozi wanajua kila kinachoendelea ikiwemo reports za technical team.Hivi yule jamaa alie chukua nafasi ya BABRA yuko wapi?