Simba ya sasa inaongozwa na wahuni ambao wanatumia mtindo wa chama cha siasa kuendelea kubaki madarakani.
Kwanza wametugawa ili watutawale.Baadhi ya wanachama na viongozi hasa wa Dar wanahongwa vipesa ili kuwa upande wa viongozi. Wamebaki na wanachama wazawa wasioenda shule,machawa kina kisugu ambao wanatumika kufanya propaganda ya kulinda maslahi ya viongozi.
Hakuna mkakati wa kusajili wanachama wapya kwa njia za kisasa.Hawa viongozi waswahili kama wataendelea kuwepo,ni bora kuachana kabisa na hii timu kwani huko mbele hali itakuwa mbaya zaidi.
Tumeona mwekezaji bahili na tapeli tu.Anasajili golikipa wa bilioni 3 kumbe tunafanganywa tu ili kesho aje na hesabu zake eti anasaidia Simba na anapata hasara.Kama anapata hasara aondoke timu ianze upya kutafuta mwekezaji mpya.
Imefika wakati tuachane na hawa viongozi wa kisiasa kwani wanasiasa ni waongo,matapeli,vibaka wakubwa wanaojali matumbo yao yasiyoshiba.Wanasiasa ndio sababu ya mauaji yote makubwa unayoyaona duniani
Kwanza wametugawa ili watutawale.Baadhi ya wanachama na viongozi hasa wa Dar wanahongwa vipesa ili kuwa upande wa viongozi. Wamebaki na wanachama wazawa wasioenda shule,machawa kina kisugu ambao wanatumika kufanya propaganda ya kulinda maslahi ya viongozi.
Hakuna mkakati wa kusajili wanachama wapya kwa njia za kisasa.Hawa viongozi waswahili kama wataendelea kuwepo,ni bora kuachana kabisa na hii timu kwani huko mbele hali itakuwa mbaya zaidi.
Tumeona mwekezaji bahili na tapeli tu.Anasajili golikipa wa bilioni 3 kumbe tunafanganywa tu ili kesho aje na hesabu zake eti anasaidia Simba na anapata hasara.Kama anapata hasara aondoke timu ianze upya kutafuta mwekezaji mpya.
Imefika wakati tuachane na hawa viongozi wa kisiasa kwani wanasiasa ni waongo,matapeli,vibaka wakubwa wanaojali matumbo yao yasiyoshiba.Wanasiasa ndio sababu ya mauaji yote makubwa unayoyaona duniani