E EGPTIAN Member Joined Feb 1, 2011 Posts 34 Reaction score 8 May 6, 2012 #1 Simba 4 - 0 Yanga. Kaseja anafunga bao la 4 kwa penalti. Okwi amefunga 2 na Sunzu kwa penalti. Hadisasa mashambulizi ni makali simba wanashambulia sana.
Simba 4 - 0 Yanga. Kaseja anafunga bao la 4 kwa penalti. Okwi amefunga 2 na Sunzu kwa penalti. Hadisasa mashambulizi ni makali simba wanashambulia sana.
Jackbauer JF-Expert Member Joined Oct 28, 2010 Posts 6,053 Reaction score 2,207 May 6, 2012 #2 naona kama kawaida mmenunua refa.mnapata penalt ya tatu
E EGPTIAN Member Joined Feb 1, 2011 Posts 34 Reaction score 8 May 6, 2012 Thread starter #3 Mafisango goooo! La 5. Simba 5 - 0 Yanga. Ubingwa umenoooga kwa kuwapa kichapo yeboyebo,wanacheza hovyo tu yanga uwanjani.
Mafisango goooo! La 5. Simba 5 - 0 Yanga. Ubingwa umenoooga kwa kuwapa kichapo yeboyebo,wanacheza hovyo tu yanga uwanjani.
Mtoto halali na hela JF-Expert Member Joined Aug 10, 2012 Posts 52,160 Reaction score 48,974 Mar 12, 2024 #4 Alaa