Simba imecheza mechi nane za ligi haijafungwa hata moja zaidi ya kutoa droo tatu na kushinda tano na inashika nafasi ya pili nyuma ya yanga
Imecheza mechi mbili za club bingwa moja imeshinda ugenini na moja imepoteza nyumbani
Imecheza shirikisho imeshinda moja nyumbani na kufungwa moja ugenini
Kwa ujumla imecheza jumla ya mechi 12 na imepoteza mbili Tu tena za kimataifa
So Kwa mantiki hii ni bado mapema sn Kusema Simba ni timu mbovu au ina wachezaji wabovu ,wakati inawapumulia yanga kisogoni.
Tatizo lililopo ni kufanya comparison Kati ya Simba Ile ya msimu uliopita na Simba hii ya Leo na Simba Ile dhidi ya yanga Ile na Simba hii ya sasa dhidi ya yanga hii ya sasa
Mleta mada,bado mapema Sana kuandika nyuzi za Aina hii, kuna timu ulaya zimecheza mechi zaidi ya 20 bado hazijawa competent kwenye ligi zao lkn mashabiki wa hizo timu hawana wenge km wewe.. Simba mechi 12 unaihuku timu mbovu?
Sent from my CPH1923 using
JamiiForums mobile app