Moto utachemkaRaja CA kwenye ligi yao anashika nafasi ya nne, ambapo kwenye makund simba alipigwa na Raja nje ndan tena sio chin ya goal 3, leo anaenda kukutanan na mtan wa Raja ambaye ndo Wydad, ambaye yupo nafas ya pili tena ndo mtetez, tusubiri mpira unadunda
Uzoefu ndo umewafikisha hapo. Haikuwa mara yao ya kwanza kushiriki hayo mashindano katika nyakati hizi.Wamejitahidi Kwa kile kikosi
Simba asipopita atajipanga kwa mashindano yajayo. Simba inaendelea kupata uzoefu wa mashindano haya makubwa.
Marumo wanaburuza mkia kwenye ligi yao Afrika kusini lakini wameongoza kwenye kundi lao kombe la shirikishoRaja CA kwenye ligi yao anashika nafasi ya nne, ambapo kwenye makund simba alipigwa na Raja nje ndan tena sio chin ya goal 3, leo anaenda kukutanan na mtan wa Raja ambaye ndo Wydad, ambaye yupo nafas ya pili tena ndo mtetez, tusubiri mpira unadunda
Kwani unabadilika kwa waarabu tu sisi weusi haubadiliki?Mkuu mpira wa saizi umebadilika sana tofauti na zamani
Kombe la losers lile sio clMarumo wanaburuza mkia kwenye ligi yao Afrika kusini lakini wameongoza kwenye kundi lao kombe la shirikisho
Hiki kikosi nimekipenda . Kama itampendeza kocha akipange hivyo hivyoKuna haja ya kuwatumia mabeki wote kwenye hii hatua. Yaani timu iwe hivi.
1. Manula
2. Shabalala au Gadieli
3Kapombe au Isaeli
4 Unyango
5. Innonga
6. Kennedy.
Hapa namba sita inaweza kucheza hata na Innonga kama Simba watakuwa wanashambulia. Wakishambuliwa wote wanarudi ndani ya mstari wa kati.
7. Phili Mozes
8. Kanute, Puttini
9. Baleke
10. Mzamilu
11. Chama.
Ni kikosi imara sana hiki
Hii ni timu gani,hapo Casablanca kuna Raja CA na Wydad AC.Wydadi Casablanca.......
Sio suala la kujifariji. Ni uhalisia. Simba imeiwakilisha nchi vizuri mpaka kufikia sasa. Kuishambulia ikitolewa ni ushabiki wa kijinga. Ikitoka tutajiandaa kufika mbali zaidi mwakani. Kwani ni timu gani nyingine imefika hapa ilipofika msimu huu?Alisikika sungura akijifariji
Robertinho tumsubiri kuona atatuvusha vpKuna haja ya kuwatumia mabeki wote kwenye hii hatua. Yaani timu iwe hivi.
1. Manula
2. Shabalala au Gadieli
3Kapombe au Isaeli
4 Unyango
5. Innonga
6. Kennedy.
Hapa namba sita inaweza kucheza hata na Innonga kama Simba watakuwa wanashambulia. Wakishambuliwa wote wanarudi ndani ya mstari wa kati.
7. Phili Mozes
8. Kanute, Puttini
9. Baleke
10. Mzamilu
11. Chama.
Ni kikosi imara sana hiki
Umebadilika Kwa baadhi ya timu mfano Yanga ...wamepata mafanikio ya fasta sana......Kwani unabadilika kwa waarabu tu sisi weusi haubadiliki?
Bila kusahau Yanga na FAR Rabat wako shirikisho huku kwenye ligi zao Tanzania & Morocco wanaongoza ligiMarumo wanaburuza mkia kwenye ligi yao Afrika kusini lakini wameongoza kwenye kundi lao kombe la shirikisho