wastani kwa idadi
JF-Expert Member
- Jun 28, 2024
- 503
- 1,432
kinachoendelea ni kama maksudi hivi kuiharibu timu ili tu kutegeana kiongozi flani apewe lawama ama tuone umuhimu wa kiongozi fulani kwa yeye kutofanya chochote ama kusadia kidogo sana kwa maksudi hata anapokuwa na uwezo wa kuisaidia timu kikamilifu.
Kwa hali hii hata shirikisho sitashangaa tukiishia kwenye hatua za mwanzo kabisa.
Natabiri pia katikati ya msimu ujao viongozi watavurugana zaidi kupelekea hata wachezaji kujikatia tamaa,
Tatizo kubwa ni kwamba timu ishakuwa ya familia milele (tukubali yaishe tulizidiwa akili) na wahindi kama tunavyowajua ni bahili vibaya mno, Timu inageuzwa kama biashara ya kujipatia faida kubwa kwa kutumia gharama ndogo kadri iwezekanavyo.
Kwa uhakika kabisa niwe muwazi kwamba Yanga ni bingwa tena, Azam atashika nafasi ya pili sababu siasa za mpira wa bongo atapitwa na Yanga.
Kwa hali hii hata shirikisho sitashangaa tukiishia kwenye hatua za mwanzo kabisa.
Natabiri pia katikati ya msimu ujao viongozi watavurugana zaidi kupelekea hata wachezaji kujikatia tamaa,
Tatizo kubwa ni kwamba timu ishakuwa ya familia milele (tukubali yaishe tulizidiwa akili) na wahindi kama tunavyowajua ni bahili vibaya mno, Timu inageuzwa kama biashara ya kujipatia faida kubwa kwa kutumia gharama ndogo kadri iwezekanavyo.
Kwa uhakika kabisa niwe muwazi kwamba Yanga ni bingwa tena, Azam atashika nafasi ya pili sababu siasa za mpira wa bongo atapitwa na Yanga.