Njaa tutoe wapi wakati supu ipo...Labda kushinda njaa
Unailazimisha furahaUtakua ulipigwa bomba haswaaa...kama ulishindwa kutembea...ndo maana hii imekua sherehe kwenu kumbe mliumia sana hiyo siku...5...0
Utopolo bhana!Naunga mkono hoja...japo Mimi ni kolo kindaki ndaki....ila hii mechi wamenikosa ....ntaenda beach na redio nisikilize mechi [emoji23] na
Mbona mna choko choko sana nyie uto? Mnataka tulie au? Sio wote tunaonyesha huzuni kila tukio...mtakufa na presha...Unailazimisha furaha
Mkala Tano za uhakika kwa hio wimbo mpya sasa ni timu mbovu? 🤪Mkuu tunataka timu bora, timu ilikuwa mbovu ila ushindi kwa mechi zilizopita ulificha machungu, kila mechi hamna mpira nzuri ila tunashinda, mechi nzuri ilikuwa ile ya Al Ahly. Timu inashinda lakini hamna furaha
Lia tena na leo, 🤪Mbona mna choko choko sana nyie uto? Mnataka tulie au? Sio wote tunaonyesha huzuni kila tukio...mtakufa na presha...
Inatakiwa hiyo mechi waingia mashabiki chini ya 500 akili ziwarudi hao viongozi uchwara na wachezaji mabishooMashabiki wanatakiwa kuonyesha reaction kuonyesha hawataki kuburuzwa hata upigaji utapungua viongozi wataogopa na wachezaji wataleta umakini, hawa wachezaji wamesifiwa sana kiasi kwamba wameota mapembe wanacheza kibishoo
Mmepigwa bomba goli 5 mnachechemea hadi leo 🤪Utakua ulipigwa bomba haswaaa...kama ulishindwa kutembea...ndo maana hii imekua sherehe kwenu kumbe mliumia sana hiyo siku...5...0
Sasa kama haikuwa mbovu mgeifunga goli 5?Mkala Tano za uhakika kwa hio wimbo mpya sasa ni timu mbovu? [emoji2957]
Sijawahi na sitakaa nilie kisa mpira...Lia tena na leo, 🤪
Kwa hio mnasema mna timu mbovu hadi leo ndio maana mkapigwa bomba 5? 🤪Sasa kama haikuwa mbovu mgeifunga goli 5?
Goli 5 umepigwa bomba haswa lazima ulie siku ile nilikuona unatokwa machozi 🤪Sijawahi na sitakaa nilie kisa mpira...
WW unaliaga?
Saido shuti ikigonga mwamba anashika kichwa na kusimama badala ya kwenda kuifuata, mchezaji akiguswa kidogo wote wanasimama wakisubiri filimbi refa anapeta tunafungwaInatakiwa hiyo mechi waingia mashabiki chini ya 500 akili ziwarudi hao viongozi uchwara na wachezaji mabishoo
Nyie malimbukeni..endeleeni kuchekelea goli 5 kama nyie ndo wakwanza kufunga...wakati mlishatobolewa huko nyuma na mnyama...Mmepigwa bomba goli 5 mnachechemea hadi leo 🤪
Hiyo game watu hawatajaa wala kutema kama siku zote. Mashabiki wasituchukulie poa sana wasituletee siasa kwa footaTunapoelekea katika mchezo wa klabu bingwa barani Afrika dhidi ya Asec mimosa tunaona nguvu nyingi inavyotumika kuhamasisha mashabiki huku mashabiki wakiwa hawana morali kabisa ya kwenda uwanjani.
Goli 5-1 siyo mchezo. ni uzembe wa Hali ya juu uliofanywa na wachezaji pamoja na viongozi.
Kwavile mliyataka hayo basi mkashangilie wenyewe.
Tufanye timu bora ni ile tuliyopiga 6-0, 5-0 ,4-1Kwa hio mnasema mna timu mbovu hadi leo ndio maana mkapigwa bomba 5? [emoji2957]
Unanichosha...huna kazi ya kumkanda mkeo hizo goli 5? Au unashabikia magoli 5 wakati ww goli moja unahema kama jogoo...Goli 5 umepigwa bomba haswa lazima ulie siku ile nilikuona unatokwa machozi 🤪
Nyinyi mmetobolewa huko nyuma na nani? 😆🤪N
Nyie malimbukeni..endeleeni kuchekelea goli 5 kama nyie ndo wakwanza kufunga...wakati mlishatobolewa huko nyuma na mnyama...
Wewe umesema mna timu mbovu ndio maana mmepigwa bomba 5 au sio wewe? 😆🤪Tufanye timu bora ni ile tuliyopiga 6-0, 5-0 ,4-1
Kwani siku ile ubovu hukuona? Timu iliyokamilika haiwezi kupigwa 5 kirahisi,nye wenyewe ham-amini bado mnasherekea mwezi mzimaWewe umesema mna timu mbovu ndio maana mmepigwa bomba 5 au sio wewe? [emoji38][emoji2957]