Kwa hio unasema mna timu mbovu? Mo amesajiri magalasa? Anamwaga mabillion kusajiri magalasa? 😆🤪Kwani siku ile ubovu hukuona? Timu iliyokamilika haiwezi kupigwa 5 kirahisi,nye wenyewe ham-amini bado mnasherekea mwezi mzima
Timu Bocco anapata namba,Onana anaingia kwenda kuonyesha nywele,manula anaingia mtu hajacheza zaidi ya nusu mwakaKwa hio unasema mna timu mbovu? Mo amesajiri magalasa? Anamwaga mabillion kusajiri magalasa? [emoji38][emoji2957]
Kalpana umasikia mtani wangu wa Jf
Mboni Manura leo anadaka kipa namba 3 Taifa stars, na ile Mechi na Niger alidaka na hakufungwa vipi? 🤪Timu Bocco anapata namba,Onana anaingia kwenda kuonyesha nywele,manula anaingia mtu hajacheza zaidi ya nusu mwaka
Niger ni timu mbovu zaidi, mbona leo kwa Morocco hajaanzishwa?Mboni Manura leo anadaka kipa namba 3 Taifa stars, na ile Mechi na Niger alidaka na hakufungwa vipi? [emoji2957]
Kwa hio unamaanisha Kawawa ni mzuri Ila Manura ni mbovu? 🤪Niger ni timu mbovu zaidi, mbona leo kwa Morocco hajaanzishwa?
Naangalia mpira wewe unaangalia nini? Unasema unanyonyesha? 🤪 Goli 5 zimejibu?Lala bana...
Hujiulizi kwanini amepunzishwa ili acheze mechi ngumu ya leoKwa hio unamaanisha Kawawa ni mzuri Ila Manura ni mbovu? [emoji2957]
Onana bei yake USD 200k,huwezi kuiweka USD 200k kwenye benchi.Timu Bocco anapata namba,Onana anaingia kwenda kuonyesha nywele,manula anaingia mtu hajacheza zaidi ya nusu mwaka
Bei kubwa ila ni mbuzi kwenye guniaOnana bei yake USD 200k,huwezi kuiweka USD 200k kwenye benchi.
Mashabiki wa bongo wanahitaji hamasaTunapoelekea katika mchezo wa klabu bingwa barani Afrika dhidi ya Asec mimosa tunaona nguvu nyingi inavyotumika kuhamasisha mashabiki huku mashabiki wakiwa hawana morali kabisa ya kwenda uwanjani.
Goli 5-1 siyo mchezo. ni uzembe wa Hali ya juu uliofanywa na wachezaji pamoja na viongozi.
Kwavile mliyataka hayo basi mkashangilie wenyewe.
Mmehujumiwa nini?Hao viongozi ndio wachawi wa simba hawafai..alafu mtu anaambiwa ajiuzulu bado ang'ang'ania hiyo timu yafamilia yake..?Hayo mapandizi yaliyohujumu pamoja na huyo msemaji wameshatimiza mpango wao..sasa wakuja kucheza na akili za mashabiki upumbavu tu..ngozi nyeusi usengx mtupu
Mshinde wapi , mnakula tatu za MotoWw ni mgeni wa mashindano ya Simba? Mbona ni kawaida kuhamasisha watu kuja uwanjani? Au umeona ni wiki hii tuu...by the way hata msipoenda kama ni kushinda tutashinda tuu...
Niger imeikanda Zambia, unawezaje kuita timu mbovu?Niger ni timu mbovu zaidi, mbona leo kwa Morocco hajaanzishwa?
Inaitwa HAMSA. Lakini tukupumbuke pia kuwa yaliopita si ndwele.Tunapoelekea katika mchezo wa klabu bingwa barani Afrika dhidi ya Asec mimosa tunaona nguvu nyingi inavyotumika kuhamasisha mashabiki huku mashabiki wakiwa hawana morali kabisa ya kwenda uwanjani.
Goli 5-1 siyo mchezo. ni uzembe wa Hali ya juu uliofanywa na wachezaji pamoja na viongozi.
Kwavile mliyataka hayo basi mkashangilie wenyewe.
Mtoa mada katoa facts, wewe unakuja na porojo tupu!!.Ww ni mgeni wa mashindano ya Simba? Mbona ni kawaida kuhamasisha watu kuja uwanjani? Au umeona ni wiki hii tuu...by the way hata msipoenda kama ni kushinda tutashinda tuu...
Mkuu uliangalia ile mechi ya Niger vs Tanzania, mpira ulikuwa wa hovyoNiger imeikanda Zambia, unawezaje kuita timu mbovu?