Leonel Ateba Mbinda
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 644
- 2,695
Saido tangu ajiunge simba akitokea Geita amekuwa na mchango mkubwa sana, ndiye mchezaji pekee ambaye kila msimu katika idadi ya wafungaji mabao hakosi tatu bora, ndiye mchezaji anayejua kupiga penati kuliko wachezaji wote nchini, kwake penati ni goli la bure, amewaonea sana makipa.
Saido bado ana nguvu, kipindi hiki Simba imevamiwa sana na mashabiki andazi na wajinga wajinva wengi, cjui hata wametokea wapi hakyamungu.
Ukiwauliza kama wanamjua Jimmy David Ngonya hawamjui, hawamjui Ally Amir Bamchawi wala Juma Salum, wala Priva Mtema, wala Halfan Matumla wala nani.
Hawamjui Malota Soma wala Twaha Hamidu, wala Rafael Paulo wala Iddi seleman wala Ally Machela.
Hawa wanatusumbua sana na wanapenda sana waonekane social media.
Wamemkatisha tamaa Saido akawa kila akifunga hana furaha, anaishia kuwawekea kidole mdomoni.
Saido ni muungwana sana, ana uzoefu wa kutosha, ana nguvu za kutosha, maarifa ya kutosha, akili za kutosha, hekima na busara.
Ndiye mchezaji ambaye hakuna kocha aliyepita Simba akamweka benchi mwanaume huyu mcha mungu.
Huyu kwa timu inayohitaji mafanikio anastahili kubakia, umri ni namba tu lakn mwanaume huyu ni mkatili sana kwa mabeki na makipa.
Timu yetu haina umoja, imejaa usaliti mwingi mno, majungu, fitna na kila aina, walioko madarakani wanaonekana wameingia kwa hila hivyo walioshindwa wamepambana sana kuhakikisha hawafanikiwi.Kila wakipanga wao wanapangua.Wakaamua kabisa kuchomesha tupigwe matano na Yanga ili uongozi uonekane hauna uwezo.
Wamemtumia sana zungu pori kuihujumu timu yetu.
Zungu pori ndio kiungo baina ya kijana na nyekundu.
Zungu pori amepewa kitengo kabisa cha kucheza na timu yetu, akififisha mipango yote ndani ya klabu.
Hata msimu ujao hatutaweza kufanikiwa kama wataendelea hawa hawa wanaohujumiwa.
Saido ni asset sema watu wa mpira hatuna tena, hasara tupu
Saido bado ana nguvu, kipindi hiki Simba imevamiwa sana na mashabiki andazi na wajinga wajinva wengi, cjui hata wametokea wapi hakyamungu.
Ukiwauliza kama wanamjua Jimmy David Ngonya hawamjui, hawamjui Ally Amir Bamchawi wala Juma Salum, wala Priva Mtema, wala Halfan Matumla wala nani.
Hawamjui Malota Soma wala Twaha Hamidu, wala Rafael Paulo wala Iddi seleman wala Ally Machela.
Hawa wanatusumbua sana na wanapenda sana waonekane social media.
Wamemkatisha tamaa Saido akawa kila akifunga hana furaha, anaishia kuwawekea kidole mdomoni.
Saido ni muungwana sana, ana uzoefu wa kutosha, ana nguvu za kutosha, maarifa ya kutosha, akili za kutosha, hekima na busara.
Ndiye mchezaji ambaye hakuna kocha aliyepita Simba akamweka benchi mwanaume huyu mcha mungu.
Huyu kwa timu inayohitaji mafanikio anastahili kubakia, umri ni namba tu lakn mwanaume huyu ni mkatili sana kwa mabeki na makipa.
Timu yetu haina umoja, imejaa usaliti mwingi mno, majungu, fitna na kila aina, walioko madarakani wanaonekana wameingia kwa hila hivyo walioshindwa wamepambana sana kuhakikisha hawafanikiwi.Kila wakipanga wao wanapangua.Wakaamua kabisa kuchomesha tupigwe matano na Yanga ili uongozi uonekane hauna uwezo.
Wamemtumia sana zungu pori kuihujumu timu yetu.
Zungu pori ndio kiungo baina ya kijana na nyekundu.
Zungu pori amepewa kitengo kabisa cha kucheza na timu yetu, akififisha mipango yote ndani ya klabu.
Hata msimu ujao hatutaweza kufanikiwa kama wataendelea hawa hawa wanaohujumiwa.
Saido ni asset sema watu wa mpira hatuna tena, hasara tupu