Simba isipomfunga Al Ahly kesho nitajiondoa rasmi hapa Jamiiforums

Simba isipomfunga Al Ahly kesho nitajiondoa rasmi hapa Jamiiforums

Leonel Ateba Mbinda

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2023
Posts
644
Reaction score
2,695
Ninaongea nikiwa na uhakika, michezo hii naifahamu vizuri, Simba anaua kesho vizuri tu.

Na kama mwarabu atachomoka kesho, mimi 1979magufuli natangaza rasmi kuagana na jamiiforums.

Iwe jua iwe mvua, mwarabu ameyakanyaga, mwarabu ameyatimba.
 
Ninaongea nikiwa na uhakika, michezo hii naifahamu vizuri, Simba anaua kesho vizuri tu.

Na kama mwarabu atachomoka kesho, mimi 1979magufuli natangaza rasmi kuagana na jamiiforums.

Iwe jua iwe mvua, mwarabu ameyakanyaga, mwarabu ameyatimba.
Bongo bahati mbaya mtajonyonga bure Kalibi Ulaya
 
Ninaongea nikiwa na uhakika, michezo hii naifahamu vizuri, Simba anaua kesho vizuri tu.

Na kama mwarabu atachomoka kesho, mimi 1979magufuli natangaza rasmi kuagana na jamiiforums.

Iwe jua iwe mvua, mwarabu ameyakanyaga, mwarabu ameyatimba.
Hiyo haina madhara sababu utafungua ID mpya,toa ahadi ya kutoa kitu ambacho huwezi kureplace ama kurudisha tena.
 
images (1)-1.jpeg
 
Ninaongea nikiwa na uhakika, michezo hii naifahamu vizuri, Simba anaua kesho vizuri tu.

Na kama mwarabu atachomoka kesho, mimi 1979magufuli natangaza rasmi kuagana na jamiiforums.

Iwe jua iwe mvua, mwarabu ameyakanyaga, mwarabu ameyatimba.
BRO BADO HUJASEPA TU?
 
Back
Top Bottom